Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,462
- 21,945
Mama mchungaji alikuja katika mkesha wa wanaume akiwa na vazi ambalo hata maparoko hawaruhusu waumini wao kuvaa hivyo, mama mchungaji alipiga picha katika vazi hilo kisha alipost mtandao wa kijamii.
Mpendwa mmoja alimuuliza swali mama mchungaji "kwanini umevaa suruali"?
Mama mchungaji naye badala ya kujibu swali yeye naye akauliza swali "wewe unaniuliza kama nani "
Kiukweli mama mchungaji alipaswa atoe jibu na sio kuuliza swali juu ya swali.
Haipendezi uulizwe swali na ukwepe jibu kwa kuuliza swali.
Mpendwa mmoja alimuuliza swali mama mchungaji "kwanini umevaa suruali"?
Mama mchungaji naye badala ya kujibu swali yeye naye akauliza swali "wewe unaniuliza kama nani "
Kiukweli mama mchungaji alipaswa atoe jibu na sio kuuliza swali juu ya swali.
Haipendezi uulizwe swali na ukwepe jibu kwa kuuliza swali.