kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,205
- 18,475
nitakutafuta....Niambie boss
nitakutafuta....Niambie boss
Sawa bossnitakutafuta....
nitafute pm please...Sawa boss
Hajui ID yangu ya JF.Ss km kawaida huu uzi wako wa nini?
Asije akajua ulichofanya
Ushaungama kwa Mungu inatosha
Lack of trust kills rlships
Ha ha ha!roho za mawe
Mkuu endelea kujifunza hiyo dhambi baadae utaiona ya kawaida hata mchana unaenda kukaza bila hofu yoyoteBinafsi nilijaribu kuchepuka ( dhambi kwa mujibu wa imani yangu, na nimetubia hii dhambi sitoirudia tena hadi nakufa).
Huwa anajua nikibanwa na majukumu sana na muda ukiwa umeenda huwa nachukua hotel napumzika na huwa nampa taarifa, ni mwanamke na mama aliyetokea kuniamini sana kama mimi ninavyomuamini.
Sasa usiku mmoja sikuridi na nikawa nimepiga mechi ya nje ( demu wa kuota huko duniani ), wakati narudi home asubuhi, nikamuona mchumba anapita njia ya juu sijui alikuwa anaenda madukani, ikabidi mie nipite njia ya chini kumkwepa, nikakosa kabisa confidence ya kukutana nae wala hata kumsalimia uso kwa uso ( sijui aliona au hakuniona )...
Nikafika home nikaoga, nikawasha laptop nikaanza kupitia mambo mawili matatu, akarudi wala hakuniuliza kitu, akaniandalia chai akaniwekea mezani nae akaja kukaa pale tukaanza kupiga story mbali mbali huku tunakula ( moyoni mwangu nikawa nasema huyu kama akijua nilichofanya usiku wa leo sijui itakuwaje hapa, na cha ajabu mapenzi yake kwangu ndio yakazidi kweli kweli, utani mwingi, cheko nyingi na furaha iliyotamalaki moyoni mwake, ndio nikawa nakosa kabisa amani nikawa nafumba fumba macho kama usingizi vile umenipitia ili nimkimbie nikalale, kabla ya kunipa ruhusu ya kwenda kulala, anapotaka kutoka huwa lazima tupige magoti kidogo tuombe kwa pamoja ndio aendelee na issue zingine.. na kwenye kuomba ukawa mtihani mkubwa zaidi...
Kwa wengine mlipokutana na mazingira haya mlikuwa katika hali gani na mliweza kumudu vipi?
Nyie ni wajinga kuchepuka sio kusaliti au kutompenda mwenzio ni ishu ya kubadili mvinyo kwenye chupa tofauti tofauti,sasa kuchepuka kuna shida ganiAkiii na mimi najiulizaga sana wanaoishi na wenzi wao huwa wanajisikiaje wakitoka kuchepuka.
Nilishawahi kuachana na bf miezi kadhaa nikapata mwingine. Yani kitendo cha kulala na yule kaka roho iliniuma namcheat mtu ninaempenda wakati hata hatuko wote.
Nililia usiku kucha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona me hiyo haijawawi kunitokea? Me nakuwaga na amani tu yaniPole sana, ukiwa na upendo wa dhati kwa mtu ni lazima ikuhukumu, na kama una akili ya kibinadamu huwezi rudia kuchepuka kwa maumivu ya nafsi ambayo unayapata
Sawa kakaNyie ni wajinga kuchepuka sio kusaliti au kutompenda mwenzio ni ishu ya kubadili mvinyo kwenye chupa tofauti tofauti,sasa kuchepuka kuna shida gani
Hapana mkuuMkuu endelea kujifunza hiyo dhambi baadae utaiona ya kawaida hata mchana unaenda kukaza bila hofu yoyote
Utakuwa haupendi na wewe hupendwi, mnazugiana tu hapoMbona me hiyo haijawawi kunitokea? Me nakuwaga na amani tu yani