Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Unapoamua kufungua fixed account na benki ni sawa kabisa na kuingia mkataba wa kibiashara na benki husika.
Kwakuwa account ya aina hii ni kama mktaba,mteja unapoamua kusitisha mkataba huu hutozwi penalty yoyote?
Katika hali ya kawaida,ni rahisi kusitisha account za aina hii?
Kama kuna penalty(may be kukatwa asilimia fulani ya hela ulioweka) hasara hii anailipa nani?
Wataalamu mtusaidie.
Kwakuwa account ya aina hii ni kama mktaba,mteja unapoamua kusitisha mkataba huu hutozwi penalty yoyote?
Katika hali ya kawaida,ni rahisi kusitisha account za aina hii?
Kama kuna penalty(may be kukatwa asilimia fulani ya hela ulioweka) hasara hii anailipa nani?
Wataalamu mtusaidie.