Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,189
- 39,954
Unaposema fulani ni rafiki yangu,huwa unamaanisha nini?
- Anakusaidia kwenye shida
- Anabadilishana na wewe mawazo tu
- Anakupiga mizinga tu
- Anakusaiia mikopo midogo midogo
- Anakupa ushauri wa busara
- Anakusaidia kiuchumi pale unapoanguka
- Anakutafutia wapenzi
- Anakupa umbea
- Anakuwa na wewe kwenye raha
- Anakufariji kwa maneno tu
- Uko naye kwa sababu wenzako pia wana marafiki
- Haujui kwa nini uko naye
- Anakusaidia kutumia hela zako