myao wa tunduru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2010
- 615
- 234
Watoto bana!!!kupigwa ban wanaona ujanja!inabidi watoto waanzishiwe jukwaa lao!!!kids corner..
unipati nakwambia muone kwanza,Mxduh ngoja tukuchokoze na huku...uwe dazipoziboylovyouuu! ID mpaya!
Mwambie asituchafulie mazingira kwa bi harusi wetuSi nia yangu kujua alichokukorofisha, bali ni kutaka kumuombea radhi kwa hilo .
Kwani huyu kwa sasa anatakiwa awe ametakata na bifu zote za Jeief.
Anazaliwa upya soon !.
Hata mimi sijui machungu ya ban pia naogopasijawahi kupata
Inauma we acha tu, usiombe yakukute...Hivi huwa inauma eeh?
Namshukuru mungu haijawahi nipata,na combei!hv hua wanatoa onyo kwanza ndio watoa hiyo ban au inakuwaje kuwaje!
mungu< Mungu
Inauma we acha tu, usiombe yakukute...
mie nililimwa ya siku 7 nikadhani miezi 6, unaishia kusoma kama guest, kuna wakati unajisikia kuchangia ila huwezi lol, mpaka leo sina hamu na jukwaa la siasa...
well,
kama huna kazi ni huzuni kwa kwenda mbele.
Lakini kama uko busy wala hata haisumbui kabisa. Honestly hizi ban ni nzuri saa nyingine.
mmmh haya bana! Kumbe jela inakuwa mzuri saa nyingine?
Wewe siwezi kurudia kuandika hapa! Tulipishana maneno na Rejao na bahati nzuri tulifungwa wote....Ulifanya kosa gani? tuambie na sisi yasitukute.
Wewe siwezi kurudia kuandika hapa! Tulipishana maneno na Rejao na bahati nzuri tulifungwa wote....
Tukakutana jela, tukasameheana huko huko jela...mpaka leo tumekuwa marafiki, nzuri zaidi kumbe ni braza angu mtoto wa shangazi, sema hizi id za jf hatukujuana lol..
Ids nyingine za kazi gani?Naskia harufu ya uongo uongo. jela gan iliwakutanisha wakat wote mlpgwa Ban humu Jei Efu? Au mlitengeza IDS nyngne?
Kama mimi kwenye Account yangu ya Dazipozi nimepigwa bani ya miezi mitatu,Mx
sitaki ndo maana nimekuwa mpole,MxKwa hiyo unatamani ban kwenye hii nayo au?