Watu wakorofi ndio wanaopata ban.
kama wewe ulivyonikorofisha juzi
kama wewe ulivyonikorofisha juzi
sitaki kuamini hujanisamehe!! Au ni kosa jipya?
nimekusamehe maana nikileta ubishi judgement anaweza kunisambaratisha.
Cheki nukuu yake hapo juu
Si nia yangu kujua alichokukorofisha, bali ni kutaka kumuombea radhi kwa hilo .
Kwani huyu kwa sasa anatakiwa awe ametakata na bifu zote za Jeief.
Anazaliwa upya soon !.
ahsante mpenz.
Mrs Judgment...
omba usipate,Mxsijawahi kupata
Kama mimi kwenye Account yangu ya Dazipozi nimepigwa bani ya miezi mitatu,Mx
Kama mimi kwenye Account yangu ya Dazipozi nimepigwa bani ya miezi mitatu,Mx