Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,514
- 6,488
Naunga mkono hoja kwa asilimia 95 tu, kwa sababu kupata mke aliyepevuka kiakili halafu bikra kwa dunia hii ni ngumu. La sivyo utaishia kuoa kabinti kadogo ambako bado akili ya kitoto, na mbaya sana ukaoa under 18 yakakukuta ya sheria a.k.a Babu Seyaling