ni ngumu kuwafanya binadamu wote wawe na mtizamo mmoja juu ya jambo lolote lile, kuna watu wanaamini katika single maza huwaambii kitu pia kuna watu wanaamini katika bikra kama mleta mada, hivo tujitahidi kuidhibiti mihemko yetu dhidi ya watu wengine maana haipendezi kuwakosea adabu coz tunamitizamo tofauti juu yao
 
Mkuu kuna jambo baya lilikupata kwa Single mother?
Kuna haja gani ya kuendesha kampeni kwa kuwalaumu hawa wadada na mama zetu.

Mbona kama hili jambo lipo "personal" sana?

Yaani unajua tabia za wanawake wote "Single mothers"?

wewe umeoa singo maza
 
Back
Top Bottom