Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 604
- 1,599
Habari wadau.
Mi nataka kujua jambo moja silielewi kabisa. Nimejaribu kufatilia nyuzi kadhaa humu jf lakini patupu, hakuna maelezo kamili.
Ipo hivi, unaponunua umeme ukapewa Token na Units, ukiziingiza kwenye mita i ajuaje kuwa hizo token ni unit kadhaa. Maana watu wanasema hizi mita hazina mawasiliano na server za Tanesco, sasa najiuliza ukipewa token umaziingiza zinabalishwaje kuwa unit katika level ya Mita yako.
Nawasilisha.
Mi nataka kujua jambo moja silielewi kabisa. Nimejaribu kufatilia nyuzi kadhaa humu jf lakini patupu, hakuna maelezo kamili.
Ipo hivi, unaponunua umeme ukapewa Token na Units, ukiziingiza kwenye mita i ajuaje kuwa hizo token ni unit kadhaa. Maana watu wanasema hizi mita hazina mawasiliano na server za Tanesco, sasa najiuliza ukipewa token umaziingiza zinabalishwaje kuwa unit katika level ya Mita yako.
Nawasilisha.