Hata michango mnayochangiwa na wanachama wenu nayo ndio inaliwa kibwege Zaid tena labda na watu wawili tu..aibuuuu....halafu mlivyokuwa waoga hamuwezi hata kuhoji Nani kala..aibuuuu...ukihoji unafukuzwa uanachama unaambiwa umetumwa..yarabi tobaHela ya ccm inaliwa kibwege sana !