Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,509
Mtu pekee kama angekuwa na uwezo wa kulitawala jukwaa na kuongea propaganda na angeaminika ni Mashinji peke yake.Ukawa mlikuwa mnafanya hujuma ili watanzania wasipate maendeleo,mmeumbuka sana.
Hapa ndio utajuwa Polepole hana akili, Mashinji ndio alikuwa katibu mkuu wa Chadema anajuwa kila kitu, kama ni propaganda uchwara kuna Chakubanga wangemtumia Mashinji.
Lakini kwa PhD holder kumezeshwa ujinga akaongee jukwaani nafsi lazima imsute hawezi kukubali.
Kumbilamoto ni mzaramo halafu ni Uneducated, watu kama wale usibet naye, ukiweka akanye kumba kariakoo mchana kweupe ujuwe umeliwa pesa yako anafanya.
Mtu ambaye alikuwa meya wa ilala kutoka Chadema ni Kulikuyeko na ni mtu ambaye licha ya kuunga juhudi mkono lakini hawezi kujitia uchizi kama Kumbilamoto.
Watanzania wangekuwa wanapiga kura kwa kutafakari takataka kama hizi zisingekuwepo kwenye platform za kisiasa.