Unapomfumania nduguyo na Mpenzio ufanyeje?

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Kama unamkuta ndugu yako awe wa kiume au wa kike anafanya Ngono na Mpenzio unatakiwa ufanyeje. Uachane na Mpenzi wako, Ushughulike na ndugu yako, uwaache waendelee na mahusiano yao, uwaambie wazazi wako au ukae kimya kwa imani kwamba maisha ndivyo yalivyo??
 
Ninaachana na mpenzi wangu, kutokana na hasira nitamuacha huyo ndugu yangu apotee na unworthy man hivyo sintaihangaisha familia na upuuzi wake.
 
Namuachia tu manake UGWADU UMEMZIDI!!!!!!!!!! Mke/Mume ndo ANAUMA SANA ila mpenzi tu wapo wengi!!!!!!! Ngoja nisianze risala zangu UNORTHODOX!!!!!!
 
nitaachana naye na nitamwambia huyo ndugu yangu endeleza jahazi lkn kama nitakua na mpenda kiukwelii lazima niwaache na fundisho japo nitaendaenda kuumia mbele kwa mbele nitampata 2takae pendana kwa dhati
 
penzi linakufa on the spot no discusion, undugu haufi ila utasitishwa kwa mda hadi hasira zitakapoisha then ntasamehe na kumshauri asiendelee na huyo bwana kama nduguyangu nayempenda akikaidi shauri yake yaje yamkute makubwa
 
Huyo sio rafiki huyo ni mwizi na unajijua adhabu ya mwizi, alichokuwa ankifanya kwa mke wangu ndio atakachokipata pia, mke nae nitafikiria cha kumfanya baadae au.....mmmh nisamehewe tu na mawazo yangu mabaya
 
Kama unamkuta ndugu yako awe wa kiume au wa kike anafanya Ngono na Mpenzio unatakiwa ufanyeje. Uachane na Mpenzi wako, Ushughulike na ndugu yako, uwaache waendelee na mahusiano yao, uwaambie wazazi wako au ukae kimya kwa imani kwamba maisha ndivyo yalivyo??

Inategemeana na situation imetokeaje, chukulia mfano umesafiri kikazi wiki moja upo nje, yule mdogo wako wa kiume kumbe anampenda sana mke wako na amemfuatilia muda mrefu sana, sasa usiku umeingia na wewe hujafika na jamaa kapania sana mkewe kazidiwa nguvu akaona isiwe ishu kamwachia, kumwachia tu na wewe upo hapo, sasa niambie hapa utafanya nini? una mtoto mdogo na mdogo wako wewe ndiye mlezi na mzazi, niambie utafanya nini? kwa hiyo kuna baadhi ya mambo kabla ya kufanya maamuzi unapaswa kujua vyanzo vyake, zaidi unapiga mkwara wa kufa mtu...unawachapa fimbo tatu za moto,,,,then unawaweka ktk Probation period.

but for case of mpenzi, tupilia mbali kule huyo siyo ridhiki
 
Inategemeana na situation imetokeaje, chukulia mfano umesafiri kikazi wiki moja upo nje, yule mdogo wako wa kiume kumbe anampenda sana mke wako na amemfuatilia muda mrefu sana, sasa usiku umeingia na wewe hujafika na jamaa kapania sana mkewe kazidiwa nguvu akaona isiwe ishu kamwachia, kumwachia tu na wewe upo hapo, sasa niambie hapa utafanya nini? una mtoto mdogo na mdogo wako wewe ndiye mlezi na mzazi, niambie utafanya nini? kwa hiyo kuna baadhi ya mambo kabla ya kufanya maamuzi unapaswa kujua vyanzo vyake, zaidi unapiga mkwara wa kufa mtu...unawachapa fimbo tatu za moto,,,,then unawaweka ktk Probation period.

but for case of mpenzi, tupilia mbali kule huyo siyo ridhiki
Yataka Moyo!!
 
kama unamkuta ndugu yako awe wa kiume au wa kike anafanya ngono na mpenzio unatakiwa ufanyeje. Uachane na mpenzi wako, ushughulike na ndugu yako, uwaache waendelee na mahusiano yao, uwaambie wazazi wako au ukae kimya kwa imani kwamba maisha ndivyo yalivyo??


ingekua ni mke wangu hapo case ingekua ngumu kidogo
ila kwa vile ni kidumu changu tuuh??
Aaah utu uzima dawa
nitamwachia ndugu yangu kiroho safi tena bila masemamgo aendeleze kutoa huduma
sasa kama kajiskia utamu ndugu yangu kwanini nimbanie??
Namwachia tuh,japo nitamuambia ninakoenda sasa tafadhali tena tafadhali sana usifate
huyo nimekuachia ila huku nitashindwa kukuvumilia
au kuna ubaya??
 
Unamshukuru MUNGU kwa kukufumbulia yaliyokuwa yamejificha kabla hujaingia mkataba na kumfanya mke au mume....

Ni kwamba hukuwa umependwa alipendwa nduguyo tu ila kwako kuna kitu anatamani ndo maana ulimpata. Lakini pia husiweke kando uwezekano kwamba pengine wewe ndiye ulikuwa mvivu kuchunguza kabla ya kuanza uhusiano inawezekana alikuwa ni mpenzi wa nduguyo kabla yako....

TAFAKARI CHUKUA HATUA..........
 
Back
Top Bottom