Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 9,397
- 8,852
Hili swali inafaa tuwaulize makomandoo wa kijeshi wanaoendaga kupigani jangwani na porini, huwa wanadondoshwa tu na miavuli.ukitupwa jangwani au porini ukiwa na vyeti vyako tu vyenye GPA kubwa..utavitumiaje ili usife njaa ndani ya wiki tu kwa kuanzia?!