Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?

Hali hii huwapata wengi ila kwa viwango tofauti. Ila kutafuta nyumba ndogo si utatuzi. Hata kidogo. Wa kwenye nyumba ndogo wengi (kama si wote) huwa ni majeruhi wa mambo haya haya. Kwa kuwa nao ni majeruhi huwa wanamatatizo zaidi. Uwe mwangalifu sana na mara nyingi nyumba ndogo itatia petroli kwenye moto sana sana utaungua zaidi ya kupona.

Jambo la kwanza ni kujiangalia wewe mwenyewe kwanza. Je wewe si chanzo cha tatizo? Kumbuka huko nyuma ilikuwaje. Kuwa mkweli na usijipendelee. Mara nyingi tunang'ang'ania misimamo yetu kutokana na ubinafsi. Badilisha kitu chochote ambacho una-hisi ni tatizo kwa mwenzio. Try to adjust.

Kama hakuna matokeo, inawezekana kweli huyu mtu mko incompatible. Lakini why did you get in each other in the first place?? Kama hamkulazimishwa basi kuna uwezekano mmebadilika, wote au mmoja wenu. inawezekana aliyebadilika ni huyu anayelalamika. Jaribu kujadiliana na mwenzio kuona kama kuna ambapo mmekosea. Be open and honest. Kuogopana mara nyingi ndo huwa tatizo.

Ikiwa yoote hayo hayasaidii, kutengana ni solution. Yes kutengana kwa muda huku kila mmoja wenu akijichunguza na kuona wapi alipoteleza. Inawezekana wakati mko pamoja self assesment inashindikana kwa sababu nobody want to lose. Hakuna anayetaka kuonekana kashindwa.

Baada ya kutengana kwa muda, hiyo ndo itatoa green light for divorce. Don't cling to each other when you are absolutely sure it is not working. Kwa nini tulazimishe kuishi pamoja? Ni kwa sababu ya economic benefit unazopata kwa mwenzio? Judge on your own, ikiwa hizo benefit ni muhimu kuliko your dignity.

If you feel confortable when separate, lakini mkirudiana hakuna mabadiliko, you sink back. NI WAKATI WA MAAMUZI MAGUMU. DIVORCE IN SOME CASES IS NECESSARY. NO TIME DIVORCE HAS BEEN A THING OF THE PAST. DIVORCE ZITAENDELEA KUWEPO TENA KWA WINGI ZAIDI KADRI TUNAVYOZIDI KUFUNGA NDOA ZA BONGO FLEVA. NO WAY!!
 
Ikiwa yoote hayo hayasaidii, kutengana ni solution. Yes kutengana kwa muda huku kila mmoja wenu akijichunguza na kuona wapi alipoteleza. Inawezekana wakati mko pamoja self assesment inashindikana kwa sababu nobody want to lose. Hakuna anayetaka kuonekana kashindwa.
Kutengana huku kwa muda..kwahitaji busara maana katika kutafuta a breather..ndiyo mtu utajikuta unapata kipoozeo.. na ndiyo itaharibu zaidi.Au kama unatengana na mtu wako kwa vile amekuwa na mahusiano ya pembeni, huoni ndiyo unatoa nafasi ili watu wajinafasi zaidi?
 
Kutengana huku kwa muda..kwahitaji busara maana katika kutafuta a breather..ndiyo mtu utajikuta unapata kipoozeo.. na ndiyo itaharibu zaidi.Au kama unatengana na mtu wako kwa vile amekuwa na mahusiano ya pembeni, huoni ndiyo unatoa nafasi ili watu wajinafasi zaidi?

Ndo hapo mimi iwa nachoka kabisa na ndoa.
 
Maisha ya ndoa yanahusisha watu wawili wenye feeling for each other. Hata kama wameoana kwa mvuto wa vitu vingine, still somehow kutakuwa na kichembe cha mapenzi kati yao. Kitu cha msingi na muhimu sana ni mawasiliano, kingine ni mawasiliano na cha tatau ni mawasiliano kati yao.

Tafuta muda ambapo nyote mko fresh kabisa, jinyenyekeshe kwa mwenzio. Ongea nayo kwa upendo wa hali ya juu. Tumia nafasi hii kumkumbusha mabo fulani yasiyokupendeza hasa yakifanywa na mtu unayempenda kama yeye. Site a few examples carefully, but dont dwell on them too much usije haribu atmosphere. Ukiona ameshakusikia usirudierudie sana inaweza kumput off again. Everytime anapokuudhi, baadae tafuta tena time ya kumfahamisha jinsi anavyokuboa. With time atajirekebisha, akirudia nafsi itamsuta maana anajua obviously anakutesa na unajua hilo. Kuwa mpole naye, usijibizane naye awapo rough au na hasira.

Kama ikiwezekana mshirikishe kwenye maombi. Salini pamoja mumwombe Mungu awajalie amani na kupendana zaidi. Fanya juhudi za makusudi kumhudumia kwa ukaribu zaidi, jitahidi kuwahi kutoka kazini mapema uwe aye muda mwingi zaidi. Jaribu kumwelewa kama kuna jambo linalomsumbua au kumsababishia hizo tabia za kinyama. Kumbuka mlipoanza uchumba mlikuwa mnaonana kama malaika fulani kila mmoja anamjali mwenzake. Je nini kimetokea kusababisha mabadiliko haya? Ukifuatilia utakuta kuna sababu fulani, lazima. Labda ndugu? wazazi? watoto? kipato kimebadilka? .... I dont know. Find out na kifanyie kazi.

Kwenda nje sio suluhisho. Divorce sio suluhisho. This person is already in your life.
 
Ndoa za kikristo za kweli haswa zilikuwa zamani, wazazi wetu zamani waliweza kuvumilia na kujua uthamani wa ndoa. Ndoa za siku hizi za kikristo watu kutengana kama kawaida, uvumilivu hakuna tena. Maana unaweza kukuta mtu kipindi cha uchumba alikuwa mwanaume mzuri au mwanamke mzuri, lkn mkishaingia ndani tu kila mtu sasa anaanza kuona vizuri mwenzake yupoje, sasa kama kuna kupeana karaha zaidi ndani ya ndoa kuliko raha hapo sasa lazima mmoja ashindwe uvumilivu, na kama mjuavyo ndoa za sasa nyingi uvumilivu ni zero.
Kama kuna karaha ya nini kung'ang'ania, hivyo mtu anaamua kujiondokea zake.
 
Bonnie not necessarily yanikute mimi haya yote ni maisha yanayotutokea sisi binadamu kama si kwangu basi yupo ambaye yuko katika hali hizi tunazozizungumzia hapa JF kwa namna moja au nyingine

Mh unazungumzia kuhamisha mapenzi kwa mtoto ndo kufanyaje? Can you stop loving the man/woman of your heart ukahamishia kwa mtoto?. Is it possible kuwa na amani kwa kufanya hivyo tu?
Kwani wewe una-define vipi neno mapenzi?

Okay , let say unahamisha UPENDO kwa watoto.Hilo linawezekana kabisa,ila lile jingine ni gumu na sikuwa na maanisha hivyo,kiswahili kigumu ati.

Hilo la kwanza nitaliacha hewani, lakini nilikuwa nasoma katikati ya mistari.Nimeshiba miaka kuwezajua nini kinaendelea,labda nimeliweka wazi sana.Natanguliza apology.
 
Kutengana huku kwa muda..kwahitaji busara maana katika kutafuta a breather..ndiyo mtu utajikuta unapata kipoozeo.. na ndiyo itaharibu zaidi.Au kama unatengana na mtu wako kwa vile amekuwa na mahusiano ya pembeni, huoni ndiyo unatoa nafasi ili watu wajinafasi zaidi?

Something is not working na while together mmejaribu everything you can imeshindikana. Kutengana while rediscovering yourselves is the best way to do it.

Kama ni affair, make no mistake. Nafasi ya affair hiyo kuleta balaa au kufa for good ni mkitengana. Affair nyingi zinazodumu huwa zinadumu kwa sababu tu huyu mtu ana mahali pa kupeleka frustrations zake. Mkitengana na hiyo affair ikadumu, so you know it is not for you.

Kwenye affair mara nyingi kama nilivyo sema kabla wanakutana majeruhi tuu. Huyu kajeruhiwa huko na huyo naye kajeruhiwa kwake wanakutana kwenye affair. Ili iwe affair, ni lazima current relationship iendelee kuwepo. Mkiseparate mara nyingi affairs zinashindwa kujibu matatizo yote na itaingia kwenye mgogoro tu. Kwa nini? Kwa sababu sasa hakuna pa kupeleka frustrated being na ku-vent-out anger. Hayo yoote inabidi yaishie kwa huyo wa kwenye affair and this is a last chance.

Kama affair hiyo itasurvive this separation, then ujue hiyo siyo affair tuu. Ni mapenzi halali yaliyo-replace hayo ya kwako. Sasa kwa hali kama hii hata mkirudiana it will not work out. What is the best option here than divorce??

Kuseparate kwa muda ni kutest zari. kama baada ya kutengana huoni amani, lakini mwenzio anaonekana kupata amani mkitengana, ujue wewe ni tatizo kwake. Angalia what more you can give up kuokoa ndoa.

Kama baada ya kutengana wewe unapata amani, mwenzio anakufuata na hapati amani. yeye ndio tatizo na ongea naye vizuri ajirekebishe. Lazima atajirekebisha tu-win you back.

Lakini ikiwa mmetengana, hakuna anayejisikia kumkosa mwenzie, haaa. Hamna kitu hapo. Kung'ang'aniana kutaendelea kuwaumiza zaid.

Zamani matatizo yakizidi mke alikuwa akibeba vitu na kurudi kwao kwa muda (Waha wa Kigoma wanaita - ukuvumbuka). Bibie akipotea kwa muda lazima mme amfuate. Akifika huko atakutana na masharti yatakayomllazimisha ajirekebishe. Asipomfuata bibie angerudi lakini akipromise kubadilika na kumpa mmewe zawadi (waha wanaita - impongano). Mme akiikubali amemmsamehe na mwenye mambo ya kubadilisha ni bibie.

Bibie akiona hakuna haja ya kurudi, na mme hamfuati, .... basi. Hapo hata kama ni ndoa ya kikristo, ugomvi wenu umeprevail juu ya imani yenu. Hii inasema kuwa hakuna aliye tayali ku-badilika. Hata mkiendelea kuishi pamoja, ndo yale ya mke kamnywesha sumu mme, au mme kampiga na kumuua mke.
 
Last edited:
duh ..kitu imenigusa hii.nilikuwa na dem alikuwa na exactly tabia na nilipochunguza nikagundua hayo ya kukosa love ndo shida
ila sijui lkn kwa upande wangu nilijaribu njia zote zikashindikana.Thank GOd nilikuwa ndo niko kwenye process za kuanza mchakato wa kuoa..nilichofanya ni kuchimba.ila kama umeoa/olewa na ndoa zenyewe za kidini,kuvumilia kunataka moyo ila ukishindwa unavuta ngoma pembeni unatulia.kama wewe ni mwanaume usisahau kujifanya mjinga ndio dawa ya madem huku pembeni unaendelea na mambo yako
 
duh ..kitu imenigusa hii.nilikuwa na dem alikuwa na exactly tabia na nilipochunguza nikagundua hayo ya kukosa love ndo shida
ila sijui lkn kwa upande wangu nilijaribu njia zote zikashindikana.Thank GOd nilikuwa ndo niko kwenye process za kuanza mchakato wa kuoa..nilichofanya ni kuchimba.ila kama umeoa/olewa na ndoa zenyewe za kidini,kuvumilia kunataka moyo ila ukishindwa unavuta ngoma pembeni unatulia.kama wewe ni mwanaume usisahau kujifanya mjinga ndio dawa ya madem huku pembeni unaendelea na mambo yako
........... na kama ni mwanamke afanyeje? je na yeye ajifanye mjinga (kwani kuna wanaume ambao kwao kushuka ni shughuli hata kama panastahili) huku akiendelea na mambo yake? Na ni mambo gani hayo anayoweza kuendelea nayo kipembeni? Isnt this potray cheating?

Kwa sababu kama mimi mwanamke ninawezakuamua nimpuuze na kufanya mambo yangu pembeni inakubalika?
 
Jambo la kwanza ni kujiangalia wewe mwenyewe kwanza. Je wewe si chanzo cha tatizo? Kumbuka huko nyuma ilikuwaje. Kuwa mkweli na usijipendelee. Mara nyingi tunang'ang'ania misimamo yetu kutokana na ubinafsi. Badilisha kitu chochote ambacho una-hisi ni tatizo kwa mwenzio. Try to adjust.

Ni kweli kabisa shingo inawezekana wewe ndio ukawa chanzo cha matatizo na ni vema tukajichunguza nini kinachochangia wenzetu kuwa na tabia za kunyanyasa. Unaposema badilisha kitu chochote unachohisi mwenzio kinamtatiza mh kidogo kuna ugumu kwani sometimes wengine kila unachofanya wewe kinambore yeye sasa utabadili nini unless uamue uishi maisha ya passiveness yaani uwe passive in everything. Akisema chochote mwambie sawa hata kama si kizuri. Akizungumzia kitu kubali usicomment.... sasa ndoa gani hiyo? Watu wanasem andoa ni muungano wa wawili wanaochukuliana kama marafiki walioshibana wanaowezaishi pamoja na kujenga maisha na familia yao. Sasa kama ni yeye tu yuko right kila siku huo ushirikiano unakujaje hapo?

Kama hakuna matokeo, inawezekana kweli huyu mtu mko incompatible. Lakini why did you get in each other in the first place?? Kama hamkulazimishwa basi kuna uwezekano mmebadilika, wote au mmoja wenu. inawezekana aliyebadilika ni huyu anayelalamika. Jaribu kujadiliana na mwenzio kuona kama kuna ambapo mmekosea. Be open and honest. Kuogopana mara nyingi ndo huwa tatizo.

Ikiwa yoote hayo hayasaidii, kutengana ni solution. Yes kutengana kwa muda huku kila mmoja wenu akijichunguza na kuona wapi alipoteleza. Inawezekana wakati mko pamoja self assesment inashindikana kwa sababu nobody want to lose. Hakuna anayetaka kuonekana kashindwa.

Baada ya kutengana kwa muda, hiyo ndo itatoa green light for divorce. Don't cling to each other when you are absolutely sure it is not working. Kwa nini tulazimishe kuishi pamoja? Ni kwa sababu ya economic benefit unazopata kwa mwenzio? Judge on your own, ikiwa hizo benefit ni muhimu kuliko your dignity.

If you feel confortable when separate, lakini mkirudiana hakuna mabadiliko, you sink back. NI WAKATI WA MAAMUZI MAGUMU. DIVORCE IN SOME CASES IS NECESSARY. NO TIME DIVORCE HAS BEEN A THING OF THE PAST. DIVORCE ZITAENDELEA KUWEPO TENA KWA WINGI ZAIDI KADRI TUNAVYOZIDI KUFUNGA NDOA ZA BONGO FLEVA. NO WAY!!

Nimekusoma.
 
.....hapo sasa unatoka nje ya ndoa na adhabu yake talaka 3 ikithibitika.


Ah!! Hapo sasa haki au usawa uko wapi? Yaani unataka kusema wanawake wameumbwa kuwa wavumilivu na si wanaume? Amah kweli maisha ya ndoa yana taka moyo.
 
Ah!! Hapo sasa haki au usawa uko wapi? Yaani unataka kusema wanawake wameumbwa kuwa wavumilivu na si wanaume? Amah kweli maisha ya ndoa yana taka moyo.

Ili uishi vizuri na mmeo kuwa mvumilivu.
Ili ndoa yenu iwe ya kudumu kusiwe na manung'uniko na mangumi jitahidi kuwa mnyenyekevu kwa mmeo muheshimu mliwaze mtulize mpepelee.
 
Ili uishi vizuri na mmeo kuwa mvumilivu.
Ili ndoa yenu iwe ya kudumu kusiwe na manung'uniko na mangumi jitahidi kuwa mnyenyekevu kwa mmeo muheshimu mliwaze mtulize mpepelee.

............. Fidel sikatai nakubaliana kabisa na kila usemacho but si they say love is two way traffick? kama yeye hakufanyii hayo? yaani uwe wewe tu unayetakiwa kumheshimu, kumlinda, kumpepea? Jamani tuzungumzie katika angle ya ubinadamu. Nami kama binadamu natakiwa nipate faraja, furaha n.k sasa kama siyapati haya toka kwa mtu wangu nikayapate wapi? si ndio mwanzo wa nyumba ndogo?

Unanikumbusha dada yangu mmoja alifumaniwa na kiserengeti boy kimoja akajitetea akisema alifuata maneno matamu ambayo mumewe hampi,.... nilimcheka but on serious note inamake sense.......
 
Unanikumbusha dada yangu mmoja alifumaniwa na kiserengeti boy kimoja akajitetea akisema alifuata maneno matamu ambayo mumewe hampi,.... nilimcheka but on serious note inamake sense.......

hahahaha.......tatizo la nyie wanawake wa siku hizi mnataka mambo ya kisasa mno.Sasa unakutana na mtu hajui haya maswala ya malavi davi utaishia kusema ooh jamaa hanipendi unaanza kutafuta serengeti boyz au unatembea na house boy wako. Wewe mwenyewe unajidhalilisha jaribu kumsoma Mr. wako yukoje? Unakuta mtu hapendi maswala ya kukiss au uongo uongo ule eti ooh mtamu kama nyama ya ndezi...wengine hawapendi.
Ndo maana nasema wanao juuuuuuuuta ni walewale wanao kimbilia kuolewa mapema kabla ya kumsoma jamaa unakurupuka tu kwa vile jamaa kaja home kutoa posa na wewe unakubali baada unakuja juta.
 
hahahaha.......tatizo la nyie wanawake wa siku hizi mnataka mambo ya kisasa mno.Sasa unakutana na mtu hajui haya maswala ya malavi davi utaishia kusema ooh jamaa hanipendi unaanza kutafuta serengeti boyz au unatembea na house boy wako. Wewe mwenyewe unajidhalilisha jaribu kumsoma Mr. wako yukoje? Unakuta mtu hapendi maswala ya kukiss au uongo uongo ule eti ooh mtamu kama nyama ya ndezi...wengine hawapendi.
Ndo maana nasema wanao juuuuuuuuta ni walewale wanao kimbilia kuolewa mapema kabla ya kumsoma jamaa unakurupuka tu kwa vile jamaa kaja home kutoa posa na wewe unakubali baada unakuja juta.

Hahah a ni kweli tunatakiwa kuwafahamu hawa watu wetu ili iwe rahisi kuamua kulibeba box hilo au la but kama ndo hivi basi mabox mengi yangeachwa. Nin amaanisha kuwa wengi wao huwa wanauwezo wa kuficha makucha yao hadi hapo atapokuoa/olewa nawe ndo utajuuuuuuuuuuuuuuta kumfahamu.

sasa yakitokea haya ndo mtu unajuuuuuuuuuuta kumfahamu wafanyaje sasa? Maana kukuoenda isiwe tabu kwa nini uninyime raha mwana wa mwanamke wa watu?
 
sasa yakitokea haya ndo mtu unajuuuuuuuuuuta kumfahamu wafanyaje sasa? Maana kukuoenda isiwe tabu kwa nini uninyime raha mwana wa mwanamke wa watu?

.....yakikukuta inabidi ukubali tu uliiingia choo cha kiume bila kujua. Cha kufanya nikujishusha usijikweze, ukijikweza utakuwa kama mnashindana wewe ndio utakae umia otherwise huyo mwanaume uwe unamlea kama mtoto mdogo.
 
............. Fidel sikatai nakubaliana kabisa na kila usemacho but si they say love is two way traffick? kama yeye hakufanyii hayo? yaani uwe wewe tu unayetakiwa kumheshimu, kumlinda, kumpepea? Jamani tuzungumzie katika angle ya ubinadamu. Nami kama binadamu natakiwa nipate faraja, furaha n.k sasa kama siyapati haya toka kwa mtu wangu nikayapate wapi? si ndio mwanzo wa nyumba ndogo?

Unanikumbusha dada yangu mmoja alifumaniwa na kiserengeti boy kimoja akajitetea akisema alifuata maneno matamu ambayo mumewe hampi,.... nilimcheka but on serious note inamake sense.......

Unajikutaje uko na mtu dizaini hiyo in the first place? Ulimpenda au mlipendana mwanzo? Obviously kama love ni two way traffic basi mlipendana. Na leo je? Nini kimetokea? Kwanini mambo yamebadilika? Nothing happens without a reason. The thing that people donot spend time on is inding 'root cause analysis'. Lazima kuna mmoja wenu alichofanya kikamkifu mwenzake hata kumbadilisha kabisa. Kama hujakijua hicho hata mkiachana mtaendelea kuishi kwa majonzi miaka yote iliyobaki. Hata ukiwa na serengeti boy atakusaidia tu temporarily kufunika machungu lakini yako palepale. Watu dizaini hii akienda nje hufanya vitu 'extreme' akifikiri ana enjoy kumbe ana fight ile psychological pain.

Kwenye ndoa hakuna usawa wa kihivyo unautaka wewe. At any given time, lazima mmoja akubali kuwa chini ya mwenzake. Mmoja awe msemaje mwingine asikilize. Mmoja aimbe mwingine acheze. Mmoja aingize mwingine aingizwe. n.k na n.k na ndivyo maisha yalivyo naturally. Ukitaka wote mfanye vinavyofanana kila wakati kisa eti mko sawa, hakuna kitakachoendelea. Kila mmoja atajiona ndio yeye matokeo yake ndio hayo.
 
Back
Top Bottom