Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?

Shishye somo lako limekwenda shule duh kumbe kweli mtu ukiamua kuolewa ujiandae haswa. No wonder wazazi wetu walikuwa wanaliaga watoto wao wakiwa wanaolewa duh. Kuishi na mtu uliyekutana naye tu ukubwani ni kazi so tusitegemee kuwa katika msitari mmoja kila mara.
 
Nimefurahishwa na michango yenu wasomaji wa forum hii, Kimsingi bado sijampata mtu aliyewahi kuniambia anafurahia maisha ya ndoa, nakila ninayeongea naye anatamani kuoa au kuolewa na mwingine, lakini basi hata hao walio tafuta wengine wanahitaji wengine tena. Huu kimsingi ni mshangao! nahisi kuna mahali tunakosea.

Kabla sijawa nafikra pevu nilifikiri huenda pesa zingekuwa ndiyo shina la kupendani kwani mahitaji yote yangepatikana, lakini si hivyo kwani hata rais wa Ufaransa wa sasa kaoa mpya, Winne alimwacha Mandela na Mzee Zuma ameoa mara tano na wanapesa hao. Pamja nahao maskini na watu wa kipato cha kati wanapita kwenye tatizo hilolo, nini sasa kinafanya hayo yatokee!!!
Kuna mahali tunahitaji kurekebisha. Kuna mjumbe alijikatalia kuongelea swala la dini, lakini ni muhimu sana kujua baadhi ya "fact" ilikuwa naupana wa kujadili. Nifahamuvyo kila atengezae kitu ndiye anjua kimeudwa kwanini, kinatabia gani, kitumike vipi na kituzwe vipi ili kiendele vizuri.

Aliye unda gari ndiye anayetoa sifa na matumizi ya gari, sawa sawa na aliye unda meza anjua hii ni kwaajili ya mikutano, hii kwa chakula na hii kwa kupigia pasi , kusomea na nk. Pia ukweli huu hautuachi sisi binadamu, Kama ni kweli tunatofauitana hii ni kwa mujibu wa tafiti na vitabu vya dini " Humani being are unique", nadharia ambayo binafsi naiamini, basi kama ndiyo hivyo binadamu tunahitaji watu wakaribu ambao ni sehemu ya mipango ya maisha yetu tu na si vinginevyo. Sina maana hatuhitajiani wengine ni wa muda tu na mission zao kwetu zinaipoisha na huondoka na kuja wengine na wakisha ondoka huenda wasikufae tena , huo ndiyo uhalisia.

Sasa basi kama tunapata hoja ya upekee hapo juu, je upate wapi mtu wa pekee anayeweza kukuvusha kwenya mipango yako?. Kimsingi kabla sijasahau jambo, angali kila mtu yupo duniani kwa sababu maalum, na bila hiyo sababu hakuna haja ya wewe kuwepo, kwa jinsi hiyo kama mimi na mpenzi wangu tutahitaji kwenda mbali zaidi maswali juu ya upekee wetu ni jambo la msingi sana.

Siku lijibu swali la msingi kwenye aya inayo anza hapo juu kwasabau ya angalizo nililohisi ni muhimu, ni vyema mtengeza watu ndiye ange wasaidia watu kupata machaguo yao.

Sawa na dhana ya meza na fundi ndivyo MUNGU na WANADAMU. Aliye tuumba ndiye anayejua tu nani kwa sura na tabia, kwa maisha yetu na mipango na kwa malengo na upekee wetu, nataka kuamini anajua nani akiwa nanani wataweza kwenda mbali zaidi.
Vitabu vingi vya mahusiano vinaongelea swala la huruka na tabia katika kuishi vyema, pia wasaikolojia na wafilosofia wanataja pamoja na mengi kuwa uvumilivu ni kigezo cha ndoa, nakubaliana nao kwa kiasi. Ukweli ni kwamba binadamu tunavumilia ikiwa:
1. kama hakuna njia nyingine ya kukwepa ugumu wa linalotusibu,
2. Tunajua tunavumilia kupata nini?
Kama wapendano hawajui wanavumilia kwasababu gani (wao wawili), hapa hamna swala la pesa wala ndugu, wala watoto na nk. wataachana tu. swala la msingi kama watatambua upekee wao na wakaupa msingi katika maisha yao uvumilivu utakuwepo.

Angali ugumu huu kwa makini
, katika wanawake wote warembo wa dunia hii rangi zote ambao hawajaolewa na wako tiyari kuolewa umepewa wewe mwanaume unayetaka kuoa uchague moja wa upekee kwako, vivyo hivyo Wewe dada unayehitaji kuolewa unaupana wa kuchagua wakaka wazuri wote wa rangi zote katika dunia waliotayari kuoa upate mmjoa wa upekee kwako. Siyo matrix rahisi pengine wataalamu wa hesabu za kubashiri(probability) mnaweza kutengeza uhusiano huu na mkatupa jibu.

Nahisi tunahitaji kitu cha ziada hapa(aliyetuumba) kwani anajua alivyozipanga hesabu zake.Pengine tungesema mkae muda mrefu ili mjuane, nani anayeweza kumjua binadamu nayegeuka sambamba na mahitaji na kuchwa kwajua? Wengi kwenye mahusiano tunajaribu tu lakini hakuna aliyeweza, tunacheka likitokea kwa huyu lakini binafsi unajua linalofukuta kwako.
Mimi ni Mkristo, Ukisoma biblia na kuruani(samahani kama sitajaandika herufi sahihi za kitabu kitukufu kwa Waislamu) Vyote vinakiri wanadamu kuumbwa na MUNGU, lakini pia biblia inakiri kuwa MUNGU ndiye Mwanzo wa mahusiano, ndiye mwanzo wa uwepo wa mwanadamu na majukumu yake,kimsingi anatufahamu wanadamu kwa urefu wetu na mahitaji yetu na anayo majibu mengi ya maswali yetu juu ya mahusiano.

Re: Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?

Naamini wengi hatujapata wapendwa wetu wa msingi, na ndiyo maana mambo yetu mengi yanatusumbua,Kwa mfano katika biblia MUNGU anamtambua Mwanaume kama kiumbe asiye mkamilifu, lakini akipata mke anakamilika, lakini pia anamwita Mke msaidizi hapa panahoja ya MSINGI kumbe katika ule upekee Mke anakuja kumalizia 'bond ili iwe perfect", nina amini msaidizi lazima ajue anakwenda kusaidia nini na anaweza? na "perfection" inatokea baada ya "complete matching", ndiyo maana najenga hofu kuwa huenda wengi tume bond na matching sizizo zetu, hivyo baadala ya kuperfect tumetawanya mno nguvu zetu katika kujaribu kuzui matatizo ya wasaidizi wetu, ambayo kamwe hututayamudu isipokuwa kwa msaada wa MWENYE KUTUUMBA.

MWANAJAMII ONLINE, pitia michanjo ya wachangiaji jifunze kitu,nafahamu pia kuwa mambo haya ni magumu lakini binadamu tunaakili kuliko matatizo, natu kizuri matatizo ni kitu kilicho simama, ni kimaanisha likija ukalitatua linapita linalokuja nilingine tu,hivyo basi ni vyema kumuuliza aliyekuumba kisha amini pia kuwa penye nia nadhamira yakweli kila kitu kinawezekana.
 
Obseva umelichambua vilivyo mada hii. Nashukuru sana na nimeelewa the bottom ya mchango wako bado ni uvumilivu huku ukimshirikisha MUNGU katika yote. Nashukuru sana.
 
Unajikutaje uko na mtu dizaini hiyo in the first place? Ulimpenda au mlipendana mwanzo? Obviously kama love ni two way traffic basi mlipendana. Na leo je? Nini kimetokea? Kwanini mambo yamebadilika? Nothing happens without a reason. The thing that people donot spend time on is inding 'root cause analysis'. Lazima kuna mmoja wenu alichofanya kikamkifu mwenzake hata kumbadilisha kabisa. Kama hujakijua hicho hata mkiachana mtaendelea kuishi kwa majonzi miaka yote iliyobaki. Hata ukiwa na serengeti boy atakusaidia tu temporarily kufunika machungu lakini yako palepale. Watu dizaini hii akienda nje hufanya vitu 'extreme' akifikiri ana enjoy kumbe ana fight ile psychological pain.

...nakuunga mkono 100%, ndio maana sikubaliani na ule msemo "forgive and forget!",....how can you forget? waweza sameheana tu, lakini kusahau kovu?
Madhali ushajitwisha na una 'kifua', ubebe tu...lakini kama roho nayo haitaki basi, achaneni.

Kwenye ndoa hakuna usawa wa kihivyo unautaka wewe. At any given time, lazima mmoja akubali kuwa chini ya mwenzake. Mmoja awe msemaje mwingine asikilize. Mmoja aimbe mwingine acheze. Mmoja aingize mwingine aingizwe. n.k na n.k na ndivyo maisha yalivyo naturally. Ukitaka wote mfanye vinavyofanana kila wakati kisa eti mko sawa, hakuna kitakachoendelea. Kila mmoja atajiona ndio yeye matokeo yake ndio hayo.
 
... MUNGU anamtambua Mwanaume kama kiumbe asiye mkamilifu, lakini akipata mke anakamilika, lakini pia anamwita Mke msaidizi hapa panahoja ya MSINGI kumbe katika ule upekee Mke anakuja kumalizia 'bond ili iwe perfect", nina amini msaidizi lazima ajue anakwenda kusaidia nini na anaweza? na "perfection" inatokea baada ya "complete matching", ndiyo maana najenga hofu kuwa huenda wengi tume bond na matching sizizo zetu, hivyo baadala ya kuperfect tumetawanya mno nguvu zetu katika kujaribu kuzui matatizo ya wasaidizi wetu, ambayo kamwe hututayamudu isipokuwa kwa msaada wa MWENYE KUTUUMBA...

...dah Obseva, hii lazima nije kuelimishana na mamsapu akirudi, darasa lililojaa kila aina ya busara, shukran.
 
Re: Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?
Nimefurahishwa na michango yenu wasomaji wa forum hii, Kimsingi bado sijampata mtu aliyewahi kuniambia anafurahia maisha ya ndoa, nakila ninayeongea naye anatamani kuoa au kuolewa na mwingine, lakini basi hata hao walio tafuta wengine wanahitaji wengine tena. Huu kimsingi ni mshangao! nahisi kuna mahali tunakosea.

Kabla sijawa nafikra pevu nilifikiri huenda pesa zingekuwa ndiyo shina la kupendani kwani mahitaji yote yangepatikana, lakini si hivyo kwani hata rais wa Ufaransa wa sasa kaoa mpya, Winne alimwacha Mandela na Mzee Zuma ameoa mara tano na wanapesa hao. Pamja nahao maskini na watu wa kipato cha kati wanapita kwenye tatizo hilolo, nini sasa kinafanya hayo yatokee!!!
Kuna mahali tunahitaji kurekebisha. Kuna mjumbe alijikatalia kuongelea swala la dini, lakini ni muhimu sana kujua baadhi ya "fact" ilikuwa naupana wa kujadili. Nifahamuvyo kila atengezae kitu ndiye anjua kimeudwa kwanini, kinatabia gani, kitumike vipi na kituzwe vipi ili kiendele vizuri.

Aliye unda gari ndiye anayetoa sifa na matumizi ya gari, sawa sawa na aliye unda meza anjua hii ni kwaajili ya mikutano, hii kwa chakula na hii kwa kupigia pasi , kusomea na nk. Pia ukweli huu hautuachi sisi binadamu, Kama ni kweli tunatofauitana hii ni kwa mujibu wa tafiti na vitabu vya dini " Humani being are unique", nadharia ambayo binafsi naiamini, basi kama ndiyo hivyo binadamu tunahitaji watu wakaribu ambao ni sehemu ya mipango ya maisha yetu tu na si vinginevyo. Sina maana hatuhitajiani wengine ni wa muda tu na mission zao kwetu zinaipoisha na huondoka na kuja wengine na wakisha ondoka huenda wasikufae tena , huo ndiyo uhalisia.

Sasa basi kama tunapata hoja ya upekee hapo juu, je upate wapi mtu wa pekee anayeweza kukuvusha kwenya mipango yako?. Kimsingi kabla sijasahau jambo, angali kila mtu yupo duniani kwa sababu maalum, na bila hiyo sababu hakuna haja ya wewe kuwepo, kwa jinsi hiyo kama mimi na mpenzi wangu tutahitaji kwenda mbali zaidi maswali juu ya upekee wetu ni jambo la msingi sana.

Siku lijibu swali la msingi kwenye aya inayo anza hapo juu kwasabau ya angalizo nililohisi ni muhimu, ni vyema mtengeza watu ndiye ange wasaidia watu kupata machaguo yao.

Sawa na dhana ya meza na fundi ndivyo MUNGU na WANADAMU. Aliye tuumba ndiye anayejua tu nani kwa sura na tabia, kwa maisha yetu na mipango na kwa malengo na upekee wetu, nataka kuamini anajua nani akiwa nanani wataweza kwenda mbali zaidi.
Vitabu vingi vya mahusiano vinaongelea swala la huruka na tabia katika kuishi vyema, pia wasaikolojia na wafilosofia wanataja pamoja na mengi kuwa uvumilivu ni kigezo cha ndoa, nakubaliana nao kwa kiasi. Ukweli ni kwamba binadamu tunavumilia ikiwa:
1. kama hakuna njia nyingine ya kukwepa ugumu wa linalotusibu,
2. Tunajua tunavumilia kupata nini?
Kama wapendano hawajui wanavumilia kwasababu gani (wao wawili), hapa hamna swala la pesa wala ndugu, wala watoto na nk. wataachana tu. swala la msingi kama watatambua upekee wao na wakaupa msingi katika maisha yao uvumilivu utakuwepo.

Angali ugumu huu kwa makini
, katika wanawake wote warembo wa dunia hii rangi zote ambao hawajaolewa na wako tiyari kuolewa umepewa wewe mwanaume unayetaka kuoa uchague moja wa upekee kwako, vivyo hivyo Wewe dada unayehitaji kuolewa unaupana wa kuchagua wakaka wazuri wote wa rangi zote katika dunia waliotayari kuoa upate mmjoa wa upekee kwako. Siyo matrix rahisi pengine wataalamu wa hesabu za kubashiri(probability) mnaweza kutengeza uhusiano huu na mkatupa jibu.

Nahisi tunahitaji kitu cha ziada hapa(aliyetuumba) kwani anajua alivyozipanga hesabu zake.Pengine tungesema mkae muda mrefu ili mjuane, nani anayeweza kumjua binadamu nayegeuka sambamba na mahitaji na kuchwa kwajua? Wengi kwenye mahusiano tunajaribu tu lakini hakuna aliyeweza, tunacheka likitokea kwa huyu lakini binafsi unajua linalofukuta kwako.
Mimi ni Mkristo, Ukisoma biblia na kuruani(samahani kama sitajaandika herufi sahihi za kitabu kitukufu kwa Waislamu) Vyote vinakiri wanadamu kuumbwa na MUNGU, lakini pia biblia inakiri kuwa MUNGU ndiye Mwanzo wa mahusiano, ndiye mwanzo wa uwepo wa mwanadamu na majukumu yake,kimsingi anatufahamu wanadamu kwa urefu wetu na mahitaji yetu na anayo majibu mengi ya maswali yetu juu ya mahusiano.

Re: Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?

Naamini wengi hatujapata wapendwa wetu wa msingi, na ndiyo maana mambo yetu mengi yanatusumbua,Kwa mfano katika biblia MUNGU anamtambua Mwanaume kama kiumbe asiye mkamilifu, lakini akipata mke anakamilika, lakini pia anamwita Mke msaidizi hapa panahoja ya MSINGI kumbe katika ule upekee Mke anakuja kumalizia 'bond ili iwe perfect", nina amini msaidizi lazima ajue anakwenda kusaidia nini na anaweza? na "perfection" inatokea baada ya "complete matching", ndiyo maana najenga hofu kuwa huenda wengi tume bond na matching sizizo zetu, hivyo baadala ya kuperfect tumetawanya mno nguvu zetu katika kujaribu kuzui matatizo ya wasaidizi wetu, ambayo kamwe hututayamudu isipokuwa kwa msaada wa MWENYE KUTUUMBA.

MWANAJAMII ONLINE, pitia michanjo ya wachangiaji jifunze kitu,nafahamu pia kuwa mambo haya ni magumu lakini binadamu tunaakili kuliko matatizo, natu kizuri matatizo ni kitu kilicho simama, ni kimaanisha likija ukalitatua linapita linalokuja nilingine tu,hivyo basi ni vyema kumuuliza aliyekuumba kisha amini pia kuwa penye nia nadhamira yakweli kila kitu kinawezekana.
 
Re: Unapokuwa kwenye situation ya namna hii... unafanyaje?
Nimefurahishwa na michango yenu wasomaji wa forum hii, Kimsingi bado sijampata mtu aliyewahi kuniambia anafurahia maisha ya ndoa, nakila ninayeongea naye anatamani kuoa au kuolewa na mwingine, lakini basi hata hao walio tafuta wengine wanahitaji wengine tena. Huu kimsingi ni mshangao! nahisi kuna mahali tunakosea.
....


Hujakutana na mimi tukaliongelea.
 
Back
Top Bottom