Unapokaza kuomba kisha anapewa mwingine ambaye hata hakuomba.

Daby

JF-Expert Member
Oct 26, 2014
33,641
75,656
Na wanawake mnafahamu fika hili huwa linatuuma zaidi ya kuuma. Daby unajitutumua kuomba kila siku na vizawadi vyako kila kukicha ila mwisho wa siku anapewa Asprin kiurahisi bila hata kutumia nguvu.

NB: mwanaume kama hili halijawahi kukuuma jichunguze.
 
Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...na mademu wa hivi unakuwa unawapenda hatari.
 
Ile naomba vocha
Mwanaume unajitutumua unatuma unasubiri hata SMS tu ya ahsante. Dadeeeq hadi unaamua wewe ndo umcheki ile kumcheki unakuta
iko biz unatulia kidogo ile kumcheki tena unaskia
SAMAHANI MTEJA UNAYEMPIGIA ANAONGEA NA SIMU NYINGINE TAFADHALI SUBIRI
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom