Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,235
- 2,000
Aseeh inauma hatari.inatokeaga hii na usiombe Demu awe anajikuta hot cake.
Ishakukuta nini?Huwa inauma sana mkuu
Ni sawa na vile unaleta shobo kwa dem unayempenda halafu yeye hana time,, yeye anapeleka shobo zake kwa mwanaume mwenzako huku wewe unashuhudia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha...na mademu wa hivi unakuwa unawapenda hatari.Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha kuna demu nilikua najipendkz kwake hadi nikamnunilia viatu ambavyo siku anaenda kutiwa na lifala fulan hvi ndo alivivaa hivo viatu
Niliumia sana tena masela walivyo kua wananitania.Niliamua kuviiba hvo viatu kwake maana aliniudhi balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unapindua maandiko ?Sio kila aombaye hupewa![]()
Hahaha...na mademu wa hivi unakuwa unawapenda hatari.
DuuhSio kila aombaye hupewa![]()
Mwisho wa siku tutafanyaje? Unamwachia Mungu.Mbona unapindua maandiko ?
Ombeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona. Bisheni nanyi mtafunguliwa
By the way. INAUMA SANA
Hahaha...kwa hiyo mkuu mwisho wa siku huwa unafanyaje?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us