Unapogundua mwenza wako si muaminifu na amekumbukiza ugonjwa hatua gani utachukua?

Maamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.

Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu 😂😂😂
Unajua ile panic/stress inaweza sababisha unafanya hata kitu cha hatari bila kujielewa.
Sasa nyie kama mnaenda kukitembeza nje huko si muwe mnatumia kinga basi kama unajijua una mke ndani, mnajiendekeza sana mnajua
 
Wanawake wanakuaga na visirani sana. Yaani mwanaume kuchepuka na kupata gonjwa ujue ndani ya nyumba yako kuna kitu hakipo sawa
 
Ujinga na ukatili, imagine mtu anamuambukiza mke wake mwisho wa siku wote wanaumwa wanabaki watoto wakiteseka

Ujinga aufanye mwenyewe lakini maumivu anaona ni sahihi myapate wote, hakika inaumiza sana. Mwingine anakuambukiza makusudi ili aseme wewe ndio chanzo na umemuambukiza pia na akijua fika hadi matibabu alishayaanza.
 
Maamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.

Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu 😂😂😂
Kwani mke akiwa na mimba haipiti jomonii...??!😏
 
Kwanza utamshukuru mungu ajakuletea ukimwi,utamuita utamueleza najua Kama mwanamkee atakana katukatu,mtaenda hospital mtibiwe wote,then from hapo ntatumia condom nikitaka kujamiana naee....maana sio muaminifu Tena kwangu

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
kuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Ingekua zile siku za kununua line ya simu kama karanga, ungenunua line uwandike ujumbe na maelezo yote kwa rafiki yako. Ukimaliza unaitupa line.
 
Kwanza utamshukuru mungu ajakuletea ukimwi,utamuita utamueleza najua Kama mwanamkee atakana katukatu,mtaenda hospital mtibiwe wote,then from hapo ntatumia condom nikitaka kujamiana naee....maana sio muaminifu Tena kwangu

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Condom kwa mke wako sasa utajiachia wapi?
 
Maisha ni kama chombo kisicho na kalio...

Yakinyyooka huku yanapinda huku, na yakipinda huku yananyooka huku.
 
kuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Dah I can feel.....umeharibu future ya watu indirect na pasipokutegemea
 
lol b huko
Kuna kipindi nilienda lll mkoani huko ,

Sasa Jiran nahome kuna kituo cha Afya..

Alikuwepo Nurse wakike, kaolewa

Yeye kila siku akawa anamuambia mumewe ,wamempangia zamu ya usiku

Siku zikaenda wee, Watu wakamtonya Mume wa Nurse kua mkeo anabanduliwa na Jamaa .

Anavyokuaga yupo kazin huwa hayupo.


Siku za mwizi 40 alisema JPM, jamaa siku hiyo akatonywa, akaamua kuja na mwanawe kuzuga km mwanawe anaumwa, kufika hapo, Mkewe hayupooo.

Jamaa akarudi home, baadae tena saba usiku akarudi , mkewe hayupoooo


Akaamua kurudi kulala, anakakuta kadem et ndio kamefika na vinguo vya kazin.


KUNA WATU WANAPIGA

DEMU ALIPIGWA KIPIGO,SIJAWWH ONA, ALIPIGWAAA

NYIE WATU, DEMU ALIPIGWA MPAKA AKAWA ANAUNGURUMA KAMA MBWA ANAYETAKA KUFAA,.PIGWA SANAAAAAAAAAAAAA .


Alivyopona, Jamaa likamuacha kabisa.
Wengine wanakutesa kisaikolojia, hasa mkiwa na watoto. Ananunua chakula na mahitaji yote ya watoto. Kama nyumba ni kubwa anahama chumba, kampeni hizi nyumba zetu za msajiliwa majumba usiku anaweka godoro sebuleni.
 
kuna wakati fulani wa zamani sana..
rafiki yangu alikuwa na demu wake mzuri kupita kiasi na alipanga hadi kumuoa!!
kuna siku huyu rafiki yangu alisafiri katika mishe zake na huyu mchumba wake alimfungulia saluni..
siku moja alikuja rafiki yangu mwingine alikuwa ametoka sudan huko alikuwa katika kaz za udereva...
hawa jamaa wawili wote ni my best friends lakini wao kwa wao si friends.
basi katika pita pita zetu huyu jamaa wa sudan akamuona yule dem wa msela wangu akaanza kudondosha mate na nikamweleza kwamba ishu ni msela wangu na anajenga nae future!alikubali usoni ila akili yake haikumpa akapambana hadi akapita nae na akamvuruga pande zote..
jamaa wakati ananipa stori amemchakata hivyo nilichukia sana ila sasa nikakosa namna...
mara paap yule mchumba wa yule dada amerudi.
baada ya siku 2 jamaa kaniita ananiambia maswaibu yalompata kapata GONO si la nchi hii na huko alikuwa na mishe zake hakuchepuka!!
anasema amempiga sana dem wake aseme alitafunwa na nani lakini hakusema!!
daahh nili feel guilt sana ila sikuwa na jinsi.
alimtema yule dada na saluni akaichkua.
Hivi hawa wanaume wanaoamini kuwa mwanamke ni wako peke yako ni wa sayari gani? Kuna mambo mengi ya kijinga nafanyaga lakini hili lakijiaminisha kuwa demu wangu hagegedwi siwezi fanya.
 
Hivi hawa wanaume wanaoamini kuwa mwanamke ni wako peke yako ni wa sayari gani? Kuna mambo mengi ya kijinga nafanyaga lakini hili lakijiaminisha kuwa demu wangu hagegedwi siwezi fanya.
Hongera zako bro.
Ukiwa na imani kama hii huwezi kuja kuachana na mke wako.
Wanaotengana kwa zaidi ya asilimia 90 sababu huwa ni kuchapiwa.

Huwa nawapenda Wamasai hata wakikuta rafiki yako amechomeka mshale anashugulika na mkeo, wao wanachukulia poa na maisha yanaendelea.

Wanaume tuna haja ya kujifunza na kubadilisha mitazamo yetu
 
Kuna kukosa uaminifu na kuna uzembe, Asiye muaminifu anaweza asikuue ila mzembe anaweza akakufanya hospitali ikawa ni pa kufikia / au kuwahisha safari yako ya kaburini...
 
How can I estimate the deepth of the river?
I ain't an expert ....When I arrive at the river I'll know what to do....
I see. Your expertise always comes at the ^very unluckliest^ moment. I guess you're so favored to have nobody as your noble supporter during your extremity.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom