Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,231
- 49,960
Unajua ile panic/stress inaweza sababisha unafanya hata kitu cha hatari bila kujielewa.Maamuz gani utachukua wakati una kibendi? We ni kuvaa barakoa na.kujifukiza tu huku ukinywa antibiotics.
Tuvumiliane jamani,.kipindi cha kubeba mimba ndio.kipindi ambacho watu wengi huonja kazi za nje sababu ya ugwadu 😂😂😂
Sasa nyie kama mnaenda kukitembeza nje huko si muwe mnatumia kinga basi kama unajijua una mke ndani, mnajiendekeza sana mnajua