Mi kama niko mbali nae huwa naepuka majibizano ya meseji (texting).Nitamjibu kwa kifupi halafu nampigia nikiwa niko calm.kujishusha
hua najishusha nikiona kabisa nimekosea na yeye hufanya hivohivo
sasa hata nichukie vp mtu kishaniomba msamaha bas nakua kawaida
kama mpo karibu?Mi kama niko mbali nae huwa naepuka majibizano ya meseji (texting).Nitamjibu kwa kifupi halafu nampigia nikiwa niko calm.
kama hakuongeleshi ila wewe tu? unaongea?nampeleka room naanza kumkiss shingoni
nashuka mpaka chini kwenye chumvi, then game linaanza
haijawaifikia huko,kama hakuongeleshi ila wewe tu? unaongea?
Huwa naomba msamaha, mimi ni mwepesi sana kusema nisamehe kama hataelewa napiga kimya hadi hasira zimuishe. Kama ni yeye kanikosea uzuri nae ni mwepesi wa kuomba msamaha hivyo tunamalizanaga kinamna hiyo maisha mengine yanaendelea.