fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
Kuna jamaa yangu mmoja kaniacha hoi asubuhi ya leo.
Tangazo la tembo card limepita baada ya muda likaja tangazo la yule kijana aliyepewa mke wa kimasai baada ya kudondosha salama condom.
Huyu jamaa baada ya kuona hilo tangazo akaunganisha mambo akasema 'kumbe kama huna tembo card dawa ni kutembea na salama condom'
Tangazo la tembo card limepita baada ya muda likaja tangazo la yule kijana aliyepewa mke wa kimasai baada ya kudondosha salama condom.
Huyu jamaa baada ya kuona hilo tangazo akaunganisha mambo akasema 'kumbe kama huna tembo card dawa ni kutembea na salama condom'