Ha ha ha haaah!! Pole sana sikuona vizuri hiyo....
Katavi vip mzima lakini?umemuona wapi charminglady? Ukikutana naye mwambie nampenda
Kumbe unalala na kondom? Naenda kusema kwa mama.ha ha ha.....unanisema nini....
usiku wa kuamkia jana kuna kibaka alitaka kutuletea za kuleta....manane mpuuzi anataka kuchukua jasho letu.....kwa sababu nilikuwa na dume ndani.....walimalizana wenyewe......
Kumbe unalala na kondom? Naenda kusema kwa mama.
Ewaaaaa! Kumbe dada angu ushakua? Ulivunja lini ungo? Na hiyo tabia mahari tutapata ya kutosha kweli? Kiruuu!mweee....we nae....ningesema kidume ndo ungependa eeeh......
Ewaaaaa! Kumbe dada angu ushakua? Ulivunja lini ungo? Na hiyo tabia mahari tutapata ya kutosha kweli? Kiruuu!
Hahahahahahahahaaaa!!!!!!u made my day!!!!:mwaaah:Ameshavunja ungo kama tano mpaka mama yake ameamua kununua trei kubwa walitumie badala ya ungo.au unamaanisha ungo gani siwakupetea mchele nk?