Unapo jikubalisha kubaradhuliwa

Sonara

JF-Expert Member
Oct 2, 2008
726
68
VuaiNdani.jpg

Home Affairs minister Shamsi Vuai Nahodha greets staff who turned up to welcome at the ministry`s headquarters in Dar es Salaam yesterday.

watamtumia Nahoda kwa kadri watakavyoweza ,wakati utatwambia tusubirini jamaa ni naive .
 
Sijaelewa mbona sura za akina mama hawa zinafanana na wastaafu wa EAC??? Ni watumishi wa wizara ya mambo ya ndani kweli!! Au ni mama ntilie wanaouza vyakula maeneo ya karibu pale!! Umri na mwonekano wao ndivyo vimenishtua.
 
Back
Top Bottom