bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Binafsi napenda Kutizama AL JAZEERA TELEVISON,naweza kuwatizama kuanzia Asubuhi mpaka usiku habari zao hazichoshi,Wako wazi,hawana madoido ambayo hayana Msingi wao ni habari 24/7.
Tushirikishane wewe unapendelea kutizama chombo gani cha Habari cha kimataifa?karibu.
Tushirikishane wewe unapendelea kutizama chombo gani cha Habari cha kimataifa?karibu.