Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Ninahisi ili tusonge mbele sekta nyingi tanzania zinahaitaji mabadiliko na mabadiliko hayo ni kwa watu walio katika nafasi za kufanya maamuzi kuwa wabunifu. Kwa leo naoba nishirikiane na great thikers wenzangu ni mabadilko gani ungefanya kwenye sekta ya ELIMU kama ungepewa postion na post ya kufanya Decision making
Binafis ningefanya mabadiliko ya kufanya shule hasa za primary na sekondary kuwa na nguvu ya kuchagua baadhi ya masomo yanayoendana na mazigira na mahitaji ya shule husika
Binafsi kuwa na mtaala standard kwa shule zote sio haki kwa sababu shule za mjini zina rasimali tofauti na shule za vijijini. Vile vile kuna wanafunzi wa maeneo fulani wana vipaji fulani zaidi kulinko wa maeneno mengine.
Tuchukulie mfano ingekuwaje mtaala wa elimu ungekuwa flexible wanafunzi wa arusha( Wambulu,Wamasai) wakaruhusiwa kuwa na somo la PE(Physical education) la kukimbia badla ya kulazimisha wanafuzi wote wa sekondary wafanya mtihani wa biology
Wenzetu kenya wanaexport wanariadha nje wankimbia kwa jina la Quatar, USA , etc
So kifupi mabadiliko ya elimu abayo ningeyafanya kama ningekuwa katika nafasi ya aauzi ni kuwa na mtaala unaoendana na maeneo husika. Kwa style hii naamini elimu ya michezo au utamaduni inaweza kubadilisha maisha ya watu wengi. Kwangu hilo ni Moja ya mabadilo mengi yanayohitakika kwenye elimu yetu.
Je wewe ungefanya mabadiliko gani ?
Binafis ningefanya mabadiliko ya kufanya shule hasa za primary na sekondary kuwa na nguvu ya kuchagua baadhi ya masomo yanayoendana na mazigira na mahitaji ya shule husika
Binafsi kuwa na mtaala standard kwa shule zote sio haki kwa sababu shule za mjini zina rasimali tofauti na shule za vijijini. Vile vile kuna wanafunzi wa maeneo fulani wana vipaji fulani zaidi kulinko wa maeneno mengine.
Tuchukulie mfano ingekuwaje mtaala wa elimu ungekuwa flexible wanafunzi wa arusha( Wambulu,Wamasai) wakaruhusiwa kuwa na somo la PE(Physical education) la kukimbia badla ya kulazimisha wanafuzi wote wa sekondary wafanya mtihani wa biology
Wenzetu kenya wanaexport wanariadha nje wankimbia kwa jina la Quatar, USA , etc
So kifupi mabadiliko ya elimu abayo ningeyafanya kama ningekuwa katika nafasi ya aauzi ni kuwa na mtaala unaoendana na maeneo husika. Kwa style hii naamini elimu ya michezo au utamaduni inaweza kubadilisha maisha ya watu wengi. Kwangu hilo ni Moja ya mabadilo mengi yanayohitakika kwenye elimu yetu.
Je wewe ungefanya mabadiliko gani ?