habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,739
Kuna MTU kazaliwa kwa ajili ya wanawake tu, yaani kila ataemwona anachanganyikiwa huku nyumbani kaacha mke, lkn pia wanawake nao wanapenda kumshobokea yaani akipita pahala tu lazima wadada wajigonge
Sasa km unapenda wanawake na wanawake wanakupenda kwann uwaseme vibaya?
Vile vile kwa madada, unapenda wanaume na wanaume wanakupenda kwanini uwaseme vibaya? Kwamba mwanaume yule na hivi ana vile, kwanini
Mwisho
Nawapenda na wao wananipenda siwezi kuwasema vibaya, au kutoa siri zao, km kuachana tutaachana kiroho safi tu
Sasa km unapenda wanawake na wanawake wanakupenda kwann uwaseme vibaya?
Vile vile kwa madada, unapenda wanaume na wanaume wanakupenda kwanini uwaseme vibaya? Kwamba mwanaume yule na hivi ana vile, kwanini
Mwisho
Nawapenda na wao wananipenda siwezi kuwasema vibaya, au kutoa siri zao, km kuachana tutaachana kiroho safi tu