Karibu tena mpendwa.Truth or dare ni ya ukweli na What happened to Monday nimeipenda pia the ring nimeielewa sana kiufup unajua sana kusimulia
Sent from my iPhone using JamiiForums
Una kipaji ndugu. Upo kabisa kama ndugu yngu fulani alikua akikueleza aah unaridhika na movie ynyewe huendi kuitafuta.Hahaha wale wa kusimulia mtu mpaka akiona movie anajiuliza mbona kama nshawahi kuionaga hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu.Una kipaji ndugu. Upo kabisa kama ndugu yngu fulani alikua akikueleza aah unaridhika na movie ynyewe huendi kuitafuta.
Ndugu, mbona nilielekeza kuhusu kuingia google upakue app ya popcorn time? Umekwama sehemu gani tuelekezane?Nasikitika kusema kwamba sijafanikiwa kabisa kupata app ya kudownload movie kwa sim, naona na hz zinanipita kama zile za exam
Mkuu hii ni bonge la movie. Inafika muda hata wewe mwangalia movie I unashindwa kujua kuwa mtu mzima De Caprio ni afisa upelelezi au mgonjwa wa akili. Mpaka mwisho wa game ndo unang'amua ukweli.Weweeee! Mzee huo mwisho wake ndo ulofanya filamu hiyo iwe kali maana ni bonge moja la TWIST! ... Jamaa alikuwa anahangaika kumtafuta mtu ambaye hayupo na kumbe yeye ndiye mgonjwa nambari 67 wa hiyo taasisi ya akili, ugonjwa ambao ulipelekea ajitengenezee picha mpya kwa kutokukubaliana na ukweli kuwa alihusika na kifo na mkewe na hata pia cha watoto wake kwa kutochukua hatua mapema kuhusu uchizi wa mkewe.
Wale wote waliokuwamo ndani wakawa wanajua jamaa ni mgonjwa wa akili isipokuwa yeye tu, na mpaka kule.mwishoni anapofunguliwa macho kwa kuambiwa majina yenyewe anayoyajua yeye ni yamegeuzwageuzwa tu herufi (anagram). So walimpa chance waone kama atarudi kwenye maisha yake halisi lakini ikaonekana imeshindikana na hivyo basi inabidi awe 'lobotomised'.
Na ndiyo maana mwishoni kabisa anamwambia yule Dr Shehan kwamba ni kheri afe kama mtu mwema kuliko kuishi kama dubwana akimaanisha ni kheri akawe lobotomised kama Teddy ambaye alikuwa ni afisa wa serikali kuliko akubali kurudi kuwa yeye halisi ambaye ni Andrew anayehusika na mauaji ya familia yake!
Mzee hii filamu ni bora sbb ya mwisho wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Popcon time inaniambia nidownload vpn, ukiclick continue ukachagua torrent inadai tena vpn sasa nimekwama kabisaNdugu, mbona nilielekeza kuhusu kuingia google upakue app ya popcorn time? Umekwama sehemu gani tuelekezane?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, mzee. Yani unabaki njia panda ya kimawazo. Mwisho wake ndo umefanya watu kujiona walikuwa wajinga muda wote huo.Mkuu hii ni bonge la movie. Inafika muda hata wewe mwangalia movie I unashindwa kujua kuwa mtu mzima De Caprio ni afisa upelelezi au mgonjwa wa akili. Mpaka mwisho wa game ndo unang'amua ukweli.
Acha kulazimisha kutazama badala yake bonyeza kitufe cha alama ya download. Italeta vpn, press back, itadownload.Popcon time inaniambia nidownload vpn, ukiclick continue ukachagua torrent inadai tena vpn sasa nimekwama kabisa
Hiyo ni mpya kabisa. Ndani kuna mikono hatari! ... vipi umeshatazama uzi wa session 03? Kuna movies zingine kule...Mzee ile papillon hipo njema
Hiko njema Sana nahipa 98% papillon ndiyo movie ninazopenda kucheka Always
Lete nyingine mzee maana kuzitafuta ni shida kwa mwezi unaweza kupata moja tu
Hila Kuna hii nayo inaitwa Extraction 2020 nayo ni shida Sana
Asante ngoja nijaribu alafu ntaleta mrejeshoAcha kulazimisha kutazama badala yake bonyeza kitufe cha alama ya download. Italeta vpn, press back, itadownload.
Sent using Jamii Forums mobile app
bado kaka page ya ngapiHiyo ni mpya kabisa. Ndani kuna mikono hatari! ... vipi umeshatazama uzi wa session 03? Kuna movies zingine kule...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani jamaa akitaka truth basi ni ile ambayo ya ndani kabisa usiyotaka watu waijue kabisa yani! Hapo ndo pagumuKama Truth or dare ingekuwa ni kitu cha ukweli watu tungeacha kuchepuka maana lijamaa humo lilikuwa lina waumbua watu na ukikataa kusema ukweli unakufa