Unapenda MOVIES? (SESSION 03) Usikose hizi wiki hii...

Ebana nimetoka kuicheki Countdown..dah yule nesi kwa jina Quin mtoto mzuri sana,japo naona hii movie imepita kwenye mstari kama wa final destination, hata hivyo ni movie nzuri..

Nimependa ubunifu wa hiyo app kwamba haifutiki..naona kuna muda walimpelekea fundi simu akafanya mafekeche ya ku hack akafanikiwa kuongeza miaka japo baadae mzigo ulirudi vilevile.(huyu fundi ilimgharimu kuwasaidia). wakaona wageukie maombi wapi.. anyways ni filamu nzuri.. kituo kinachofuata ni Shutter island.
 
MV5BM2Q3MjQ3NDAtZDk4NS00MDIwLTllZGUtMmY1ZDU2OTJkNGY2XkEyXkFqcGdeQXVyMTMxODk2OTU@._V1_SY1000_SX...jpg

wale wapenzi wa series hii apa...
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya (Caretel) wamexico... je ataweza kuikwepa mikono ya FBI na kuweza kutakatisha fedha hizo ili kuiokoa familia yake kifo au ataishia jera.... Ipakue Series hii kali ya OZARK 1-3 bure kwa link hii
ShrinkMe.io
 
View attachment 1428635
wale wapenzi wa series hii apa...
Mshauri wa maswala ya kifedha anaiingiza familia yake kwenye biashara ya madawa ya kulevya ambapo anatakiwa kutakatisha $500 Millioni ndani ya miaka mitano kutoka kwa wauza madawa ya kulevya (Caretel) wamexico... je ataweza kuikwepa mikono ya FBI na kuweza kutakatisha fedha hizo ili kuiokoa familia yake kifo au ataishia jera.... Ipakue Series hii kali ya OZARK 1-3 bure kwa link hii
ShrinkMe.io
Ina English subtitle?
 
Natumia halotel 4g, kwenye bando mara nyingi natumiaga cha 1500 saa6 usiku hadi 12 asubuhi unlimited, na mara chache nikidownload mchana cha 5000 gb7 wiki, na speed yake ya kudownload iko vizuri.
KWA PC ukichukua movie 10-15 zitajaa zote kwa pamoja mpaka asubuhi ila hapo nikiconnect pc kwa hotspot kutoka kwenye simu.

Kama nikitumia modem yangu ya 3g alafu nikasema nizidownload kwa pamoja hazitojaa zote, ila dawa ni kudownload moja-moja hapo utapata movie hata 10au9 mpaka saa 12 asubuhi ila itabidi ukeshe sababu movie moja itachukua kama dk 25-30 mpaka ijae full pia itategemea na eneo ulilopo.
Kama mimi. Huwa natumia Halotel 4G ya usiku, mzee baba ni si mchezo kwani kitu kinashuka kama vile unakivuta na kamba. Mara chachechache nikihitaji muda wa mchana ndo najiunga na ya gb7 kwa wiki.

Ahsante kwa kushare mawazo yako mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebana nimetoka kuicheki Countdown..dah yule nesi kwa jina Quin mtoto mzuri sana,japo naona hii movie imepita kwenye mstari kama wa final destination, hata hivyo ni movie nzuri..

Nimependa ubunifu wa hiyo app kwamba haifutiki..naona kuna muda walimpelekea fundi simu akafanya mafekeche ya ku hack akafanikiwa kuongeza miaka japo baadae mzigo ulirudi vilevile.(huyu fundi ilimgharimu kuwasaidia). wakaona wageukie maombi wapi.. anyways ni filamu nzuri.. kituo kinachofuata ni Shutter island.
Fundi alikuja kuipata mwishoni ... hahaha..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hio Countdown nimeicheki juzi kati, ni nyoko! 🤣🤣🤣 nikawatisha jamaa zangu kwamba na download ile app na mimi ilikuwa patashika!

Truth or dare nayo nzuri ila sijaipenda kivile.
 
SteveMollel ebana tayari nishaicheki What happened to Monday ni balaaa..japo sina upenzi sana na sci-fi lakini hii imenibamba aisee..nimesikitika tu kwanini yule mama wa kituo cha watoto kwanini na yeye hawakumchoma moto kama alivyokua anawaua watoto kikatili..ni movie nzuri sana..hukoseagi chief.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom