Jinsi ya kuondoa madoa na mabaka mwilini

IMG-20171011-WA0011.jpg
Note:
Sijawahi kujaribu
 
Habarini za saa hizi JF..,nina mpwa wangu anamiaka 18 anatatizo la kutokwa na vipele usoni alafu mwisho wa vipele ni mabaki ya mabaka meusi usoni...

Hilo tatizo limeanza tangu akiwa na miaka 15,kwa anayejua tiba mbadala anijuze...
 
Unapatikana wap?
Tunapatikana Mbande Chamazi lakini tuna huduma ya kufanya delivery kwa Dsm nzima.

Haya ni mafuta ya asili yanatoa kabisa na kukuacha ukiwa na ngozi laini lakini pia tumeona tatizo kubwa ni kwamba watu wengi wananunua vitu bila kupata maelekezo sahihi aidha kutoka kwa watengenezaji ama wauzaji.Sisi ukinunua utapewa na karatasi ya maelezo iliyoandikwa jinsi ya kutumia kwa ufasaha.

Pia tumetoa na kijarida cha Jitambue kina maelezo ya jinsi ya kujitambua ngozi na nywele zako ili kuzihidumia kulingana na asili yake kuna ngozi aina 5 na kuna nywele aina 3 hivyo matatizo kama chunusi,madoa na vingine huletwa na kukosea kitu kwenye ngozi yako.

Karibu.
 
KAUMZA dear kamuone dokta, kuna daktari mmoja yuko Aga khan anaitwa Prof Mng'onda.. he is the best....

Yaani mimi nimewahi kuwa na chunusi, hapa ninapoongea imebaki historia, inabidi uwe mvumilivu matokeo utayaona mie ilinichukua 8weeks..na wakati niko pale nilianza matibabu na dada mmoja hali kama yako... nilipokuja kukutana nae tena sikuamini changes zake.

Huwa anakua Regency na Aga Khan, mie naongelea kutokana na uzoefu, ningekutajia dawa lakini inawezekana chanzo cha tatizo kwangu ni tofauti na kwako. Ila mtafute.. wish u all the best
naomba utaje dawa mkuu naweza google nione inatolewa kwa dalili zipi
 
Nina ushauri wa tiba yenye gharama chini ya tshs 1,000(buku) na tatizo lako lingekuwa story ,mahitaji ya hiyo dawa ni ya kawaida kila kona ya Tz unapata, ila duu miluzi mingi hupoteza mbwa, hebu fuata maelekezo ya waliotangulia.
 
Kuna mhindi mmoja Arusha ana cream lotion home made naona inawasaidia sana wamama ,tuwasiliane nikuelekeze kwake ,
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom