Shayu
Platinum Member
- May 24, 2011
- 608
- 1,653
Habari wanaJamiiForums,
Kuwa makini na mawazo yako, muelekeo wa maisha yako unategemea sana aina ya mawazo unayoyakaribisha kichwani mwako, tofauti kati ya mtu mwovu na mwema ni mawazo yao na haya mawazo ndio huzaa matendo yao.
Binadamu hufikiri na matunda ya fikra za binadamu huonekana katika matendo.
Kuwa makini na mawazo yako, muelekeo wa maisha yako unategemea sana aina ya mawazo unayoyakaribisha kichwani mwako, tofauti kati ya mtu mwovu na mwema ni mawazo yao na haya mawazo ndio huzaa matendo yao.
Binadamu hufikiri na matunda ya fikra za binadamu huonekana katika matendo.