kunze
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 398
- 469
Kwa kijana huyu kulala hospitali kwa miaka minane tena akila na kunywa kwa kutumia mrija,ni suala ambalo linatukumbusha sana juu ya kumcha,kumtukuza na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote anayoyafanya.
Kukosa leo,usijute na wala usilaani. Mshukuru Mungu kwa kila jambo.
Je, ni jambo gani kubwa ambalo Mungu aliwahi kukuokoa kwako ambalo hadi leo limebakia kuwa funzo kwako?
Mimi ni ajali ya gari hapo Mbagala kizuiani,sitaisahau 2009.
Kukosa leo,usijute na wala usilaani. Mshukuru Mungu kwa kila jambo.
Je, ni jambo gani kubwa ambalo Mungu aliwahi kukuokoa kwako ambalo hadi leo limebakia kuwa funzo kwako?
Mimi ni ajali ya gari hapo Mbagala kizuiani,sitaisahau 2009.