Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,397
- 14,154
Jambo gani la ajabu huku na hizi nguo zimekuja hapa afrika hata hazina miaka 80 tokea zije. Before titi liko wazi unaliona unalizoea mkuu. Tulizaliwa uchi kwani shida iko wapiWNBR hiyo huwa wanaendesha baiskeli uchi na sasa nchi nyingi zinafanya nafikiri karibu nchi 17 zinasherehekea na kukiwa na miji 74 duniani
Nilishuhudia kwa macho yangu London ila ni jambo la ajabu sana kwa sisi na utabaki mdomo wazi mara unacheka mara unahuzunika