Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,192
Kwa starehe za kiwango cha kutisha kwa sasa mahali pake ni katika visiwa Maldives vilivyopo ndani ya Bahari ya Hindi huko Asia.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.
Haipo starehe ndani ya Ulimwengu huu utaikosa huko Maldives!
Matendo ya kishetani yatendekayo katika visiwa vile ni zaidi ya kusimuliwa.
Usichokijua Visiwa hivyo vipo kwenye hatari ya kumezwa na Bahari ndiyo maana watu wengi wa Mungu wanadai hiyo pengine ni adhabu fanani na ya Sodoma na Gumola.