Viongoz wa taasisi za dini sio ofisa ushirika Mtu kama Kadinal Pengo ni Genius sio kilaza sasa kijana unaita mass yote unaongea vitu watu wanabaki na maswali nadhani mwenye nchi kama anawashauri basi wamshauri sidhan kama yupo sawa wala sidhan kama ipo sawa.
By the way who are you ukiacha viongozi wengine na Rais na nani kakutuma. Kama kakutuma hukujiongeza tu?
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema mtu mwenye akili akikwambia jambo lake la kijinga na wewe ukalifanya anakudharau.
Ona sasa vyombo vyote vimekaa kimya na kesho head sio hiyo how do ye feel?
Naka wkiweka itakuwa kituko how do ye feel.
Hili kama sio bomu kwa taifa basi ni hatari itakuwaje kweli sasa Rais anawaita akina nani?
Utaratibu kamati za maadili kweli hamshauri haya yanatokea?
well sawa.
Msemaji wa Serikali kazi yake nn au ndio? Haya poa.
Angalieni vichwa vya habari magazeti ya leo tarehe 19.11.2019.... Mtanielewa... Serikali inautaratibu huwez kuamka asubuh nakuita viomgoz wa Din wakitaifa wewe nani? Kwaherini
By the way who are you ukiacha viongozi wengine na Rais na nani kakutuma. Kama kakutuma hukujiongeza tu?
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema mtu mwenye akili akikwambia jambo lake la kijinga na wewe ukalifanya anakudharau.
Ona sasa vyombo vyote vimekaa kimya na kesho head sio hiyo how do ye feel?
Naka wkiweka itakuwa kituko how do ye feel.
Hili kama sio bomu kwa taifa basi ni hatari itakuwaje kweli sasa Rais anawaita akina nani?
Utaratibu kamati za maadili kweli hamshauri haya yanatokea?
well sawa.
Msemaji wa Serikali kazi yake nn au ndio? Haya poa.
Angalieni vichwa vya habari magazeti ya leo tarehe 19.11.2019.... Mtanielewa... Serikali inautaratibu huwez kuamka asubuh nakuita viomgoz wa Din wakitaifa wewe nani? Kwaherini