Unaongea lugha ngapi? (Binafsi Ninaongea Lugha saba(7)

Jumax

Senior Member
Mar 4, 2017
117
229
Habari zenu wakuu, natumai mu wazima wa afya.
Embu tufahamu ni lugha ngapi tunazozungumza.
Binafsi ninaongea jumla ya Lugha saba (7).

1.Kiswahili (swahili)
Ni lugha ambayo ninaongea na kuandika kwa ufasaha zaidi ya asilimia 90% ukizingatia pia ni lugha mama.

2.Kireno (Portuguese)
Hii pia ni Lugha ambayo ninaizungumza na kuandika pia kwa ufasaha sana kama ilivyo kwa lugha mama hapo juu.

3.Kingereza ( English)
Kutokana na kuwa lugha ya kufundishia (language of instruction) katika ngazi ya sekondari na pia ni second official language. Hapa kuna utofauti kidogo maana ninaweza kuelewa, kuandika na kusoma vizuri sana lakini linanitatiza kidogo suala la kuzungumza kwa ufasaha zaidi na ndio maana nimeiweka katika nafasi ya tatu. 70% fluency.

4. Kimwani (mwani)
Hii ni Lugha inayozungumzwa kaskazini mwa nchi ya msumbiji na pia ni lugha inayoshabihiana misamiati kwa zaidi ya asimilia 80% na kiswahili ndio maana imekuwa rahisi sana kuielewa na kuzungumza lakini katika uandishi wanatumia mfumo wa kireno.

5. Kimakuwa (makhuwa, macua, eMakhuwa)
Hii ni lugha inayozungumzwa na jamii kubwa takribani watu ml.3 katika mkoa wa Nampula nchini msumbiji (wazee wa mtupweshi watakuwa wananielewa vizuri hapa). Ninaongea na kuelewa kwa ufasaha lakini kuandika sifahamu maana ni lugha inayotumia sana "tone" katika matamshi.

6. Tsonga (Changana)
Hapa nazungumzia lugha inazungumzwa kusini mwa nchi ya msumbiji (katika mikoa ya Gaza, nyambani na Maputo) , kaskazini mwa nchi ya Afrika ya kusini (south africa) na zimbabwe. pia ni lugha inayoendana kiasi fulani na lugha ya kizulu. Ninaongea na kuielewa vizuri japo kuandika sio sana.

7.Kihispania (Spanish)
Ni lugha iliyopo katika kundi la Romance languages pamoja kireno, kiitaliano, kiCatalan, kifaransa n.k
Kihispania ni lugha ambayo imeshabihiana sana na lugha ya kireno na hapa ni tofauti kabisa na lugha nyingine maana hii Sikujifunza nimejikuta tu naielewa vizuri ingawa kuandika sifaham sababu sijawahi kufanya hivyo kutokana na utofauti katika Lahaja zake.
 
Habari zenu wakuu, natumai mu wazima wa afya.
Embu tufahamu ni lugha ngapi tunazozungumza.
Binafsi ninaongea jumla ya Lugha saba (7).

1.Kiswahili (swahili)
Ni lugha ambayo ninaongea na kuandika kwa ufasaha zaidi ya asilimia 90% ukizingatia pia ni lugha mama.

2.Kireno (Portuguese)
Hii pia ni Lugha ambayo ninaizungumza na kuandika pia kwa ufasaha sana kama ilivyo kwa lugha mama hapo juu.

3.Kingereza ( English)
Kutokana na kuwa lugha ya kufundishia (language of instruction) katika ngazi ya sekondari na pia ni second official language. Hapa kuna utofauti kidogo maana ninaweza kuelewa, kuandika na kusoma vizuri sana lakini linanitatiza kidogo suala la kuzungumza kwa ufasaha zaidi na ndio maana nimeiweka katika nafasi ya tatu. 70% fluency.

4. Kimwani (mwani)
Hii ni Lugha inayozungumzwa kaskazini mwa nchi ya msumbiji na pia ni lugha inayoshabihiana misamiati kwa zaidi ya asimilia 80% na kiswahili ndio maana imekuwa rahisi sana kuielewa na kuzungumza lakini katika uandishi wanatumia mfumo wa kireno.

5. Kimakuwa (makhuwa, macua, eMakhuwa)
Hii ni lugha inayozungumzwa na jamii kubwa takribani watu ml.3 katika mkoa wa Nampula nchini msumbiji (wazee wa mtupweshi watakuwa wananielewa vizuri hapa). Ninaongea na kuelewa kwa ufasaha lakini kuandika sifahamu maana ni lugha inayotumia sana "tone" katika matamshi.

6. Tsonga (Changana)
Hapa nazungumzia lugha inazungumzwa kusini mwa nchi ya msumbiji (katika mikoa ya Gaza, nyambani na Maputo) , kaskazini mwa nchi ya Afrika ya kusini (south africa) na zimbabwe. pia ni lugha inayoendana kiasi fulani na lugha ya kizulu. Ninaongea na kuielewa vizuri japo kuandika sio sana.

7.Kihispania (Spanish)
Ni lugha iliyopo katika kundi la Romance languages pamoja kireno, kiitaliano, kiCatalan, kifaransa n.k
Kihispania ni lugha ambayo imeshabihiana sana na lugha ya kireno na hapa ni tofauti kabisa na lugha nyingine maana hii Sikujifunza nimejikuta tu naielewa vizuri ingawa kuandika sifaham sababu sijawahi kufanya hivyo kutokana na utofauti katika Lahaja zake.
najua kiswahili.kizuru.kiingereza na kifaransa kidogo
 
nlfkir unajua lugha ya diplomacy, yaan kifaransa . Hizo zingine mabaharia wengi wanazjua. Afrika natamani kujifunza lingara na Arabic. Lakini sasa hivi nipo najifunza sarufi matamshi ya kisukuma.
 
nlfkir unajua lugha ya diplomacy, yaan kifaransa . Hizo zingine mabaharia wengi wanazjua. Afrika natamani kujifunza lingara na Arabic. Lakini sasa hivi nipo najifunza sarufi matamshi ya kisukuma.
Hapana mkuu, Kifaransa sijui ila nikipata muda ningependa kujifunza lakini inauwia vigumu sababu sijawah pata exposure sehem wanazozungumza kifaransa maana huwa ni njia rahisi sana kujifunza lugha ngeni.
 
Habari zenu wakuu, natumai mu wazima wa afya.
Embu tufahamu ni lugha ngapi tunazozungumza.
Binafsi ninaongea jumla ya Lugha saba (7).

1.Kiswahili (swahili)
Ni lugha ambayo ninaongea na kuandika kwa ufasaha zaidi ya asilimia 90% ukizingatia pia ni lugha mama.

2.Kireno (Portuguese)
Hii pia ni Lugha ambayo ninaizungumza na kuandika pia kwa ufasaha sana kama ilivyo kwa lugha mama hapo juu.

3.Kingereza ( English)
Kutokana na kuwa lugha ya kufundishia (language of instruction) katika ngazi ya sekondari na pia ni second official language. Hapa kuna utofauti kidogo maana ninaweza kuelewa, kuandika na kusoma vizuri sana lakini linanitatiza kidogo suala la kuzungumza kwa ufasaha zaidi na ndio maana nimeiweka katika nafasi ya tatu. 70% fluency.

4. Kimwani (mwani)
Hii ni Lugha inayozungumzwa kaskazini mwa nchi ya msumbiji na pia ni lugha inayoshabihiana misamiati kwa zaidi ya asimilia 80% na kiswahili ndio maana imekuwa rahisi sana kuielewa na kuzungumza lakini katika uandishi wanatumia mfumo wa kireno.

5. Kimakuwa (makhuwa, macua, eMakhuwa)
Hii ni lugha inayozungumzwa na jamii kubwa takribani watu ml.3 katika mkoa wa Nampula nchini msumbiji (wazee wa mtupweshi watakuwa wananielewa vizuri hapa). Ninaongea na kuelewa kwa ufasaha lakini kuandika sifahamu maana ni lugha inayotumia sana "tone" katika matamshi.

6. Tsonga (Changana)
Hapa nazungumzia lugha inazungumzwa kusini mwa nchi ya msumbiji (katika mikoa ya Gaza, nyambani na Maputo) , kaskazini mwa nchi ya Afrika ya kusini (south africa) na zimbabwe. pia ni lugha inayoendana kiasi fulani na lugha ya kizulu. Ninaongea na kuielewa vizuri japo kuandika sio sana.

7.Kihispania (Spanish)
Ni lugha iliyopo katika kundi la Romance languages pamoja kireno, kiitaliano, kiCatalan, kifaransa n.k
Kihispania ni lugha ambayo imeshabihiana sana na lugha ya kireno na hapa ni tofauti kabisa na lugha nyingine maana hii Sikujifunza nimejikuta tu naielewa vizuri ingawa kuandika sifaham sababu sijawahi kufanya hivyo kutokana na utofauti katika Lahaja zake.
Habari zenu wakuu, natumai mu wazima wa afya.
Embu tufahamu ni lugha ngapi tunazozungumza.
Binafsi ninaongea jumla ya Lugha saba (7).

1.Kiswahili (swahili)
Ni lugha ambayo ninaongea na kuandika kwa ufasaha zaidi ya asilimia 90% ukizingatia pia ni lugha mama.

2.Kireno (Portuguese)
Hii pia ni Lugha ambayo ninaizungumza na kuandika pia kwa ufasaha sana kama ilivyo kwa lugha mama hapo juu.

3.Kingereza ( English)
Kutokana na kuwa lugha ya kufundishia (language of instruction) katika ngazi ya sekondari na pia ni second official language. Hapa kuna utofauti kidogo maana ninaweza kuelewa, kuandika na kusoma vizuri sana lakini linanitatiza kidogo suala la kuzungumza kwa ufasaha zaidi na ndio maana nimeiweka katika nafasi ya tatu. 70% fluency.

4. Kimwani (mwani)
Hii ni Lugha inayozungumzwa kaskazini mwa nchi ya msumbiji na pia ni lugha inayoshabihiana misamiati kwa zaidi ya asimilia 80% na kiswahili ndio maana imekuwa rahisi sana kuielewa na kuzungumza lakini katika uandishi wanatumia mfumo wa kireno.

5. Kimakuwa (makhuwa, macua, eMakhuwa)
Hii ni lugha inayozungumzwa na jamii kubwa takribani watu ml.3 katika mkoa wa Nampula nchini msumbiji (wazee wa mtupweshi watakuwa wananielewa vizuri hapa). Ninaongea na kuelewa kwa ufasaha lakini kuandika sifahamu maana ni lugha inayotumia sana "tone" katika matamshi.

6. Tsonga (Changana)
Hapa nazungumzia lugha inazungumzwa kusini mwa nchi ya msumbiji (katika mikoa ya Gaza, nyambani na Maputo) , kaskazini mwa nchi ya Afrika ya kusini (south africa) na zimbabwe. pia ni lugha inayoendana kiasi fulani na lugha ya kizulu. Ninaongea na kuielewa vizuri japo kuandika sio sana.

7.Kihispania (Spanish)
Ni lugha iliyopo katika kundi la Romance languages pamoja kireno, kiitaliano, kiCatalan, kifaransa n.k
Kihispania ni lugha ambayo imeshabihiana sana na lugha ya kireno na hapa ni tofauti kabisa na lugha nyingine maana hii Sikujifunza nimejikuta tu naielewa vizuri ingawa kuandika sifaham sababu sijawahi kufanya hivyo kutokana na utofauti katika Lahaja zake.
kwa kifupi hapo shehe unaongea lugha tatu..
 
Back
Top Bottom