Ujinga wa hizi mambo unajirekodi, dhumuni linapita, list ya upuuzi inaongezeka, hakuna anayejali kuhusu wewe sasa unapotaka kufuta post moja kama uliituma, unakuta kuna copy kama milioni mia ktk mtandao cjui utaanza kufuta ipi, zaidi ya kunyonga kitu na kiripua....anayempatia pantera hiyu maza ampunguzie dozi, ipo cku atatembea uchi.
Kutaka attention kwa namna hiyo lazima ni dalili ya ugonjwa wa akili, au kutokulelewa na baba au father figure kwa watoto wa akili, kina Shonza wanatkiwa wawapitie watu hawa msaada wa kiafya kuliko vitisho..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.