Unaoga mara ngapi kwa siku?

Naoga basi tu ila sipendi kuoga kabisa.

Nkipata mara 1 tu inanitosha.

Ila Naoga kweli. Nikiingia bafuni utanisahau
 
Unapoamka unaoga, baada ya mishughuliko ya siku jioni unaoga! Kuna zaidi ya hapo? Jibu ni mara mbili kwa siku, labda uwe na matatizo.
 
Back
Top Bottom