Unaoa ili iweje ? Mimi na-date na KE sita kwa raha zangu.

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,567
50,393
Kwa kero za ndoa ninazoshuhudia na kuzisikia, nashindwa kuelewa sabb ya mwanaume kuamua kuoa mke ambaye baada ya muda mfupi hugeuka kuwa laana na balaa.

Mtu anaanza kujutia, kunyong'onyea na kusononeka. Hata ndoto zake za kuishi maisha aliyoyatarajia hutoweka kabisa. Kila siku hofu ya kusalitiwa, mizozo na magomvi. Ukioa kipato huanza kuyumba maana unakuwa umeongeza matumizi lkn hujaongeza vyanzo vya kipato.

Mm na-date na wadada sita bila ya wao kujuana wala kugongana hata siku moja.
1. Hotelia
2. Mjasiriamali
3. Mwanafunzi wa diploma
4. Mwanafunzi wa shahada
5. Binti wa jirani
6. Mke wa mtu -mwajiriwa serikalini

Nimekula bata sana na huyu mwajiriwa wa serikali kabla ya sémina kupigwa marufuku na jpm, nilikuwa namfuata kila mkoa alikoenda. Nalala bure, nakula bure na kinanda napiga.

Siku hizi akiimisi kitu yangu anaomba ruhusa kazini kwake kuwa kesho atakuwa na dharura. Nyumbani anamwambia mumewe kuwa kesho atatakiwa aamke mapema sana ili awahi kazini. Hiyo kesho anacruze gari hadi kwangu ili afike kabla majirani hawajaamka. Basi tunafanya yetu mpk muda wa kazi utakapoisha. Huku akigharamia mapochopocho na usafi wa nyumba akifanya.

Hawa wanafunzi nawapishanisha wakati wa likizo zao. Mmoja namwambia sitakuwepo, basi anakula kona huyu mwingine anakuja kwangu kwa wiki kadhaa. Yule aliyekula kona namuomba awahi wiki 2 kabla ya kufungua.

Huyu mjasiriamali anasaidia sana siku ziende hasa nikichacha huku wanafunzi wakiwa vyuoni na mwajiriwa yuko busy.


Hotelia hana faida nyingine kwangu zaidi ya kuonyesha True love na kuwa tayari kutoa penzi bila hata ya kudai nauli.

Binti wa jirani yeye huwa ananisumbua sana pale ambapô wazazi wake wanapokuwa wamesafiri ama wako ktk shughuli za kijamii mfano misiba, harusi, n.k

Kwa mazingira kama haya, ambapo mm nina uhakika wa mbunye kila siku, najiuliza naoa ili iweje ? Kama nikitaka mtoto kati ya hawa sita hakuna atakaye chomoa.
 
Kwa kero za ndoa ninazoshuhudia na kuzisikia, nashindwa kuelewa sabb ya mwanaume kuamua kuoa mke ambaye baada ya muda mfupi hugeuka kuwa laana na balaa.

Mtu anaanza kujutia, kunyong'onyea na kusononeka. Hata ndoto zake za kuishi maisha aliyoyatarajia hutoweka kabisa. Kila siku hofu ya kusalitiwa, mizozo na magomvi. Ukioa kipato huanza kuyumba maana unakuwa umeongeza matumizi lkn hujaongeza vyanzo vya kipato.

Mm na-date na wadada sita bila ya wao kujuana wala kugongana hata siku moja.
1. Hotelia
2. Mjasiriamali
3. Mwanafunzi wa diploma
4. Mwanafunzi wa shahada
5. Binti wa jirani
6. Mke wa mtu -mwajiriwa serikalini

Nimekula bata sana na huyu mwajiriwa wa serikali kabla ya sémina kupigwa marufuku na jpm, nilikuwa namfuata kila mkoa alikoenda. Nalala bure, nakula bure na kinanda napiga.

Siku hizi akiimisi kitu yangu anaomba ruhusa kazini kwake kuwa kesho atakuwa na dharura. Nyumbani anamwambia mumewe kuwa kesho atatakiwa aamke mapema sana ili awahi kazini. Hiyo kesho anacruze gari hadi kwangu ili afike kabla majirani hawajaamka. Basi tunafanya yetu mpk muda wa kazi utakapoisha. Huku akigharamia mapochopocho na usafi wa nyumba akifanya.

Hawa wanafunzi nawapishanisha wakati wa likizo zao. Mmoja namwambia sitakuwepo, basi anakula kona huyu mwingine anakuja kwangu kwa wiki kadhaa. Yule aliyekula kona namuomba awahi wiki 2 kabla ya kufungua.

Huyu mjasiriamali anasaidia sana siku ziende hasa nikichacha huku wanafunzi wakiwa vyuoni na mwajiriwa yuko busy.


Hotelia hana faida nyingine kwangu zaidi ya kuonyesha True love na kuwa tayari kutoa penzi bila hata ya kudai nauli.

Binti wa jirani yeye huwa ananisumbua sana pale ambapô wazazi wake wanapokuwa wamesafiri ama wako ktk shughuli za kijamii mfano misiba, harusi, n.k

Kwa mazingira kama haya, ambapo mm nina uhakika wa mbunye kila siku, najiuliza naoa ili iweje ? Kama nikitaka mtoto kati ya hawa sita hakuna atakaye chomoa.
Mbona hawatoshi hao??
Fanya uongeze nesi ili awe anaaga kwa mumewe kwamba anaingia nightshift kumbe ww ndo unapanga roaster
 
Kwa kero za ndoa ninazoshuhudia na kuzisikia, nashindwa kuelewa sabb ya mwanaume kuamua kuoa mke ambaye baada ya muda mfupi hugeuka kuwa laana na balaa.

Mtu anaanza kujutia, kunyong'onyea na kusononeka. Hata ndoto zake za kuishi maisha aliyoyatarajia hutoweka kabisa. Kila siku hofu ya kusalitiwa, mizozo na magomvi. Ukioa kipato huanza kuyumba maana unakuwa umeongeza matumizi lkn hujaongeza vyanzo vya kipato.

Mm na-date na wadada sita bila ya wao kujuana wala kugongana hata siku moja.
1. Hotelia
2. Mjasiriamali
3. Mwanafunzi wa diploma
4. Mwanafunzi wa shahada
5. Binti wa jirani
6. Mke wa mtu -mwajiriwa serikalini

Nimekula bata sana na huyu mwajiriwa wa serikali kabla ya sémina kupigwa marufuku na jpm, nilikuwa namfuata kila mkoa alikoenda. Nalala bure, nakula bure na kinanda napiga.

Siku hizi akiimisi kitu yangu anaomba ruhusa kazini kwake kuwa kesho atakuwa na dharura. Nyumbani anamwambia mumewe kuwa kesho atatakiwa aamke mapema sana ili awahi kazini. Hiyo kesho anacruze gari hadi kwangu ili afike kabla majirani hawajaamka. Basi tunafanya yetu mpk muda wa kazi utakapoisha. Huku akigharamia mapochopocho na usafi wa nyumba akifanya.

Hawa wanafunzi nawapishanisha wakati wa likizo zao. Mmoja namwambia sitakuwepo, basi anakula kona huyu mwingine anakuja kwangu kwa wiki kadhaa. Yule aliyekula kona namuomba awahi wiki 2 kabla ya kufungua.

Huyu mjasiriamali anasaidia sana siku ziende hasa nikichacha huku wanafunzi wakiwa vyuoni na mwajiriwa yuko busy.


Hotelia hana faida nyingine kwangu zaidi ya kuonyesha True love na kuwa tayari kutoa penzi bila hata ya kudai nauli.

Binti wa jirani yeye huwa ananisumbua sana pale ambapô wazazi wake wanapokuwa wamesafiri ama wako ktk shughuli za kijamii mfano misiba, harusi, n.k

Kwa mazingira kama haya, ambapo mm nina uhakika wa mbunye kila siku, najiuliza naoa ili iweje ? Kama nikitaka mtoto kati ya hawa sita hakuna atakaye chomoa.


Haraka haraka yaani wewe huna jukumu lolote linalokufanya uwe busy kabisa au Kujiingizia kipato.. Ila Dar nimefurahishwa na unavyowapangilia vizuri yaani hadi unajimezea udenda
 
Haraka haraka yaani wewe huna jukumu lolote linalokufanya uwe busy kabisa au Kujiingizia kipato.. Ila Dar nimefurahishwa na unavyowapangilia vizuri yaani hadi unajimezea udenda
Hahaha !! Mkuu mjini shule
 
Mbona hawatoshi hao??
Fanya uongeze nesi ili awe anaaga kwa mumewe kwamba anaingia nightshift kumbe ww ndo unapanga roaster
Umeona ee mkuu !!? Kunishawishi kuoa labda itangazwe adhabu ya kifungo
 
Mkuu huku kitaa tunachangia harusi za watu siku mbili wametoana ngeu, mara wameachana


Katika kitu kinachonikera kabisa ni hiki cha kuchangia Harusi halafu Huyo Mwanamke bado analiwa na bwana wake wa zamani au bado huyo Mshikaji anafanyiwa kwa kutumia resources zake hizo hizo..

Haki Ya Mungu wanawake wa siku Hizi Kuna ni Pasua Kichwa....
 
Katika kitu kinachonikera kabisa ni hiki cha kuchangia Harusi halafu Huyo Mwanamke bado analiwa na bwana wake wa zamani au bado huyo Mshikaji anafanyiwa kwa kutumia resources zake hizo hizo..

Haki Ya Mungu wanawake wa siku Hizi Kuna ni Pasua Kichwa....
kiukweli hata mm naumia sana na hiki kitu kinaongeza hasira ya mm kuendelea kuwagegeda tu. Kuoa ni kutafuta balaa
 
kiukweli hata mm naumia sana na hiki kitu kinaongeza hasira ya mm kuendelea kuwagegeda tu. Kuoa ni kutafuta balaa


siku zote huwa nasema kama wewe Mwanamke hautaki kuolewa basi usimpe Laana mwenzio kwa kuwa una mlolongo wa wanaume kibao huko nyuma kisiwe kigezo cha kuingia kwenye Ndoa iliahli bado hujaachana na Juma mara abdalah mara Frank
 
siku zote huwa nasema kama wewe Mwanamke hautaki kuolewa basi usimpe Laana mwenzio kwa kuwa una mlolongo wa wanaume kibao huko nyuma kisiwe kigezo cha kuingia kwenye Ndoa iliahli bado hujaachana na Juma mara abdalah mara Frank
Siku hizi wamezigeuza k kuwa kopo la kutawazia dushe. Kila mwenye kuhitaji anatawazia tu.
 
Back
Top Bottom