Unanswered Israeli Air Strikes Against Syria Raise S-400 Questions

Kitu kingine wanasahau, mara nyingi Israel ikishambulisa Syria inatumia anga la Lebanon, ni karibu sana na important areas zote za Syria. Ni risk kubwa sana kupeleka hizi advanced jets kwenye anga kama la Syria, you never know. Kumbuka Nighthawk ilivyopigwa Yugoslavia na SAM ya mwaka 1961. Ukiangusha F35 Syria kwa sababu zozote zile, disaster lake litakuwa sio la dunia hii.

Zimekwisha anguka F-35 mbili kwa mfururizo kwenye mazingira ya kutatanisha - tukio hilo lilikumba airbase iliyopo East Coast ya USA, baada investigation kufanyika kuhusu ni kwa nini ndege mbili aina za F-35s zianguke ghafla within one week time frame.

Ma fighter Pilots walipo hojiwa walisema kwamba electronic instrumentation and control systems za F-35 zilikuwa zina paraganyika ghafla na kuifanya ndege to loose power na mwelekeo!!

Baadae kabisa ndio wachunguzi wa masuala ya ajali za ndege wakaja baini kwamba kumbe culprit ni kituo cha Electronic Warfare System kilicho funguliwa na Warusi nchini Cuba hivi karibuni, tangu wagunduwe ukweli huo ndipo USAF walilazimika kuhamisha F-35s zilizo baki kwenda kwenye airbases zilizopo katikati ya nchi na West Coast.
 
Zimekwisha anguka F35 mbili kwa mfururizo kwenye mazingira ya kutatanisha - tukio hilo lilikumba airbase iliyopo East Coast ya USA baada ya investigation kuhusu ajali za ndenge ma Pilot walisema kwamba electronic instrumentation and control systems za F-35 zilikuwa zina paraganyika kwa kuifanya ndege to loose power na mwelekeo.

Baadae kabisa ndio eschunguxi wa masuala ya ajali za ndege wakaja baini kwamba kumbe culprit ni kituo cha Electronic Warfare System kilicho funguliwa na Warusi nchini Cuba hivi karibuni, tangu wagunduwe ukweli huo walilazimika kuhamishia F-35 kwenye airbases zilizopo katikati ya nchi na West Coast.y
Hilo F35 ni hasara tupu. Ndio matatizo ya Military Industrial Complex. Lockheed Martin wamepiga hela ya kutosha. Na wanajua hakuna siku italazimika kupambana kwenye hostile airspace
 
Zimekwisha anguka F-35 mbili kwa mfururizo kwenye mazingira ya kutatanisha - tukio hilo lilikumba airbase iliyopo East Coast ya USA, baada investigation kufanyika kuhusu ni kwa nini ndege mbili aina za F-35s zianguke ghafla within one week time frame.

Ma fighter Pilots walipo hojiwa walisema kwamba electronic instrumentation and control systems za F-35 zilikuwa zina paraganyika ghafla na kuifanya ndege to loose power na mwelekeo!!

Baadae kabisa ndio wachunguzi wa masuala ya ajali za ndege wakaja baini kwamba kumbe culprit ni kituo cha Electronic Warfare System kilicho funguliwa na Warusi nchini Cuba hivi karibuni, tangu wagunduwe ukweli huo ndipo USAF walilazimika kuhamisha F-35s zilizo baki kwenda kwenye airbases zilizopo katikati ya nchi na West Coast.
Si kweli. Unless ukitoa reference tofauti, sababu ya kuanguka kwa hizo ndege ni kama inavyosema hapa
Defective fuel tube caused September F-35 crash in South Carolina: report
F-35 landing gear collapses after landing at Hill
 
Back
Top Bottom