Emok Jr
JF-Expert Member
- Mar 17, 2018
- 1,094
- 795
Habari za siku !
Naomba kwa wale mliotumia kitabu cha physical chemistry kilichoandikwa na ngaiza mnijuze yafuatayo:-
1.Kimeandikwa vizuri yani rahisi kusoma na kuelewa?
2.Kina maswali ya kutosha pia na mifano ya maswali?
Pia naweza pata bookshops Njombe zinazo uza kitabu cha physical chemistry cha mzumbe kilichoandikwa na Delungu(1998)?
Pia kitabu cha Delungu na cha Ngaiza upande wa physical chemistry kipi kizuri? Au havina tofauti sana?
Naomba kwa wale mliotumia kitabu cha physical chemistry kilichoandikwa na ngaiza mnijuze yafuatayo:-
1.Kimeandikwa vizuri yani rahisi kusoma na kuelewa?
2.Kina maswali ya kutosha pia na mifano ya maswali?
Pia naweza pata bookshops Njombe zinazo uza kitabu cha physical chemistry cha mzumbe kilichoandikwa na Delungu(1998)?
Pia kitabu cha Delungu na cha Ngaiza upande wa physical chemistry kipi kizuri? Au havina tofauti sana?