😂😂 nakuyumbisha tu mkuusio Mimi bhana,
Au unataka nilipie tangazo?
Kama wimbo wa Siskii....
Jamaa kaanzishiwa Vagi ikabidi amuite mbochi awaite maafande, baadae kamrudia demu
Andika Nye Mejja feat Will Paulndo ipi iyo MBONA siijui
Sura yake tu ni kituko
Tumewaza pamoja hahaNimekuja mbio nikajua MEJJA KUNTA khaaaah,