Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh kweli uhandishi ni kipaji, sijaambulia chochote
nilijua peke yangu,nimerudia mara ya pili wapi bado kushnei,ndo matatizo ya kutoroka mashuleni haya.hana budi kurudi elimu ya msingi na kusoma tena kwa bidii somo la mwandiko
Naomba uwepo w mungu unifikie.unajua kudes shulen kuna garamayake sana hata vitu vidogo unaitaji kudesa utakikuumiza akili uelewe..nikurudishe darasan kidogo hii uitaj kudedsa nakumezesha kiaina<br />
<br />
unamwita mchumba wako mama yako mzazi<br />
means kuna mtu kamwita mchumba wake mama mzazi badala ya kumtambulisha kama kipenzi chake umeleewa hiili<br />
<br />
amekuzalia kaka zako??<br />
Hi wala aiitaji shule ya msingi yaani wewe unaemwita mchumba wako mamako mzazi amekuzalia kaka zako??<br />
Nahisi kama na hapa ujaelewa naomba uwepo wa mungu ukufunike maana ni ngumu kukuelekeza
<br />unajua kudes shulen kuna garamayake sana hata vitu vidogo unaitaji kudesa utakikuumiza akili uelewe..nikurudishe darasan kidogo hii uitaj kudedsa nakumezesha kiaina<br />
<br />
unamwita mchumba wako mama yako mzazi<br />
means kuna mtu kamwita mchumba wake mama mzazi badala ya kumtambulisha kama kipenzi chake umeleewa hiili
amekuzalia kaka zako??<br /> usikazimishe mambo, lazima hukubali kwamba habari imeandikwa hovyo hovyo
Hi wala aiitaji shule ya msingi yaani wewe unaemwita mchumba wako mamako mzazi amekuzalia kaka zako??<br />
Nahisi kama na hapa ujaelewa naomba uwepo wa mungu ukufunike maana ni ngumu kukuelekeza
nilijua peke yangu,nimerudia mara ya pili wapi bado kushnei,ndo matatizo ya kutoroka mashuleni haya.Hana budi kurudi elimu ya msingi na kusoma tena kwa bidii somo la mwandiko