Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,612
- 2,378
Nime screenshot, nobody holds my destinyExactly. Mimi hua natembea ns neno moja..
With you or without you, I shine.
Nobody holds my destiny
Nime screenshot, nobody holds my destinyExactly. Mimi hua natembea ns neno moja..
With you or without you, I shine.
Nobody holds my destiny
word.Japo sio lazima.Ili ufikie hiyo stage ni lazima uwe umepitia heart breaks kadhaa.
Ndio maana contact list yangu wapo 13 hafu wengi ni ndugu zangu tu. Siwezi kujipendekeza siwezi lazimisha kuwasiliana na mtu
mbona mawadah umenikumbusha mbali na hili neno asante.Ukiwa hivyo ni vizuri ila pia hutajua raha na Mawadah ya kupenda
Ni sawa na Mpira, Kadri unavyoumia timu yako ikifungwa basi ikishinda unakuwa na furaha Mara dufu lakin ukiwa unaona kawaida hata ikifungwa basi hata ikishinda kiwango cha furaha huwa pia cha chini
Well said hakuna kisicho zoelekaNaona tunajitahidi kubishana naukweli pamoja na uhalisia wa haya mambo..
Nikama stage zaukuaji wa mtoto,kulala,kukaa,kutambaa,kusimama,kupiga hatua na kukimbia..sasa huwa kunastage mtoto anapitia maumivu na majelaha sana mpka atakapozoea pulukushani..chamuhimu kwasasa nikujua unawezaje kuwa participant mzuri na una enjoy haya mambo..
Sidhani Kama mleta mada amewahi kupenda . Mapenzi yana nguvu sana
Mimi natamani kuwasilisha nawe ila nafasi hii sijaipata kwakweli..Wakati mwingine kulazimisha mawasiliano na mtu ndiyo kunakupa amani ya moyo zaidi kuliko kujifanya mbabe kutunisha misuli eti na wewe unamkalia kimya wakati moyo wako unatamani uwasiliane naye
Fanya kile moyo wako unapenda
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah, nimeshavuka hukoItakua upo situation hiyo .