CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Kwa mujibu wa klabu yake thamani yake baada ya kusaini mkataba mpya utakao mfunga mpaka mwaka 2018 huku akivuna pound 17million kwa mwaka ni pound 312 million.
City na chelsea si mlikua mnamtaka?aya sasa kazi kwenu..
City na chelsea si mlikua mnamtaka?aya sasa kazi kwenu..