Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
Nchi ya lawama itakwenda kilawama lawama mpaka lawama ziwatokee puani
yeye kamsadia ray c wewe umesadia nani?
Sidhani hata kidogo kama rais anatafuta umarufu kwa kumsadia ray c.vp wale walemavu anawapa bajaji
ama kweli tenda wema wende zako usingoje shukurani
yeye kamsadia ray c wewe umesadia nani?
Sidhani hata kidogo kama rais anatafuta umarufu kwa kumsadia ray c.vp wale walemavu anawapa bajaji
ama kweli tenda wema wende zako usingoje shukurani