Wana Jamiiforums je unamkumbuka nani katika maisha yako ya shule iwe ni primary, O- level, A- level au chuo ambaye ungependa uonane naye, lakini hujui yuko wapi?
Binafsi namkumbuka dada mmoja alikuwa anaitwa Beatrice Magwira niliachana nae mwaka 1990 pale Morogoro shule ya Ifakara Wilaya ya Kilombero yeye akiwa kidato cha pili, kwao ilikuwa ni Mzinga kambi ya Jeshi, kama yuko humu au kuna mtu ana taarifa zake naomba anijulishe hata kwa PM tafadhali nina deni nae huyu dada (nawiwa).
Kwa mara ya mwisho nilipata habari zisizo rasmi kuwa ni mwalimu huko Dodoma.
Binafsi namkumbuka dada mmoja alikuwa anaitwa Beatrice Magwira niliachana nae mwaka 1990 pale Morogoro shule ya Ifakara Wilaya ya Kilombero yeye akiwa kidato cha pili, kwao ilikuwa ni Mzinga kambi ya Jeshi, kama yuko humu au kuna mtu ana taarifa zake naomba anijulishe hata kwa PM tafadhali nina deni nae huyu dada (nawiwa).
Kwa mara ya mwisho nilipata habari zisizo rasmi kuwa ni mwalimu huko Dodoma.