Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,616
1.Andre Arendse
5.Mark Fish
15.Doctor Khumalo
19.Helman Mkhalele
6.Philemon Masinga
5.Mark Fish
15.Doctor Khumalo
19.Helman Mkhalele
6.Philemon Masinga
Neil Tovey alikua Captain wa timu jezi namba 9neil tovey...dah...........
Kijana jezi namba 4 kipindi hiko anan'garisha leeds unitedWapi Lucas Radebe
Bila shaka hujamsahau Roger De Sa aliyekuwa Golikipa wa Mamelodi SoundownsNinaowakumbuka hapo Andre Arendse, Sizwe Motaung, Neil Tovey, Lucas Radebe, Tinkler, Buthelezi, Doctor Khumalo, John Moshoeu, Phil Masinga, Shaun Bartlett
Mkuu hao ni wanafunzi wa Clive Barker mwaka 1996 AFCOAN wakachukua ubingwaMimi sikumbuki kitu hapo
Eric Tinkler jezi namba 21Hao nawakumbuka na niliwaona wakicheza timu ya Taifa ya Afrika Kusini. Ilikuwa ni katika fainali za mataifa ya Afrika zilizochezwa mwaka 1996 kwao Afrika Kusini. Walitwaa ubingwa wakiizaba Tunisia 2-0. Wapi Williams? Wapi Eric Tinkler? Nilikikubali sana hicho kikosi cha Afrika Kusini. Viva South Africa!
Sawa sasa Mimi hiyo mwaka 1996 Niko darasa la piliMkuu hao ni wanafunzi wa Clive Barker mwaka 1996 AFCOAN wakachukua ubingwa
Hahaha Sio mbaya hope ulifuatilia hata kwa ufupiSawa sasa Mimi hiyo mwaka 1996 Niko darasa la pili
Kuna yule jamaa MASHOESHOE alikuwa hatari sanaHao nawakumbuka na niliwaona wakicheza timu ya Taifa ya Afrika Kusini. Ilikuwa ni katika fainali za mataifa ya Afrika zilizochezwa mwaka 1996 kwao Afrika Kusini. Walitwaa ubingwa wakiizaba Tunisia 2-0. Wapi Williams? Wapi Eric Tinkler? Nilikikubali sana hicho kikosi cha Afrika Kusini. Viva South Africa!
umemsahau mark williamsHapo Wachezaji waliokuwa wakinivutia na wakinifanya nitoroke Shuleni jioni na usiku kwenda kuwatizama huku nikikatiza Mapori na Vichaka nilipokuwa Shule ya Upili ( Sekondari ) huko kwa Mzee Yoweri Museveni ni Wawili tu Kiungo wa juu ( namba Nane ) John Moshoeu na Kiungo wa chini ( namba Sita ) Doctor Khumalo. Waafrika ya Kusini kamwe hawatakuja kupata Kikosi imara na kilichotukuka cha Timu ya Bafana Bafana kama hiki.