Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

MT255

JF-Expert Member
May 3, 2012
3,381
4,648
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES
FB_IMG_1535614128821.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani

Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua

R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604

Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwepo mpinzani wake akiitwa Athumani Digadiga
 
Alikuwepo mpinzani wake akiitwa Athumani Digadiga
Mkuu Digadiga wala hakuwahi kumsumbua marehemu black moses alikuwa mpinzani wa kawaida sana, watu ambao walikuwa wanampa shida kila mashindano ni super ngedere wa moro , Kelly John, Bosco cool, bob kassim, baucha hawa ndio watu walikuwa wanampa shida Black moses ilikuwa Black moses akisikia hawa niliokutajia wapo kwenye mashindano basi Black moses anajipanga kweli maana kazi iipo....digadiga alikuwa kama body flani hiv mara kibao baada ya matokeo anaanzisha fujo kaonewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom