Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,511
- 65,144
Yeah. ..naona mistari ilikua ya ukweli kweli.Hizo ndo zilikuwa lyrics za ukweli, sio siku hizi wimbo kuanzia mwanzo hadi mwisho umejaa yoyoyoyo.
By the way pole kwa kisago cha jana.
Halafu nilisahau sijui hata nimekuquote ya nini! Asante nimeshapoa.