Chai Nyeusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2021
- 347
- 312
JF imejaa watu intelligent sana na wanaoijua vema dunia hiiVery interesting
JF imejaa watu intelligent sana na wanaoijua vema dunia hiiVery interesting
Kama kaka yangu Mshana JrJF imejaa watu intelligent sana na wanaoijua vema dunia hii
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.Tunapendekeza Rais ajaye awe na haiba kama za mama Samia ili aendeleze ukuaji wa uchumi wa kati.
Rais Samia tangia akiwa waziri katika wizara mbalimbali hajawai kuwa na mshindani katika kariba yake ya utendaji.Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
Bila kumsahau aliekuwa bilionea namba moja Urusi kipindi kile Mikhail Khardokorsky, alipata kumiliki kampuni ya mafuta ya Yukos na taasisi za kifedha.Vladimir Gusinsky, mmoja wa Russian oligarchs kipindi cha Rais Boris Yeltsin miaka ya 90.
Huyu pamoja na kundi la matajiri wengine sita wakiwemo Mikhail Fridman, Petr Aven na Vladimir Potanin, ndio walikuwa wakiziendesha siasa za Urusi na serikali ya Yeltsin wakati huo.
Asilimia karibu 70 ya fedha zote za Urusi zilikuwa chini yao [watu saba] kabla ya Putin kuingia madarakani na kuanzisha vita ya madaraka na baadhi ya matajiri wakubwa (oligarchs).
Kina Fridman, Petr Aven pamoja na Potanin mpaka sasa bado wana ushawishi mkubwa sana katika utawala wa Putin.
Duuuuh! Wee kiboko. 🤣🤣When the first man discover the phone, He had already two missed call from Putin
Habari za wakati huu jamiiforums.
Unamjua "Media Tycoon" Vladimir Gusinsky? Rais Putin alimwambia "niuzie vyombo vyako vya habari, laa sivyo nitakuweka ndani mpaka ukoo wako ukusahau"
View attachment 1853094
Mnamo mwaka wa 1999, kulikuwa na muungano/umoja wa kisiasa ambao uliwajumuisha Rais wa wakati huo ndugu Borris Yeltsin, jamaa zake na Yeltsin, pamoja na kundi la wafanyabiashara mwenye nguvu, wanaojulikana kama "Family", ambao ndio inasemekana walimleta Vladimir Putin kama mrithi pekee wa Rais Yeltsin.
Wakati huo huo, Vladimir Gusinsky alijiweka nje ya kikundi hicho chenye nguvu cha "Family" na kwa sababu hiyo alituhumiwa kuunga mkono makundi ya upinzani yaliyokuwa yakienenda kinyume na matakwa ya Kremlin (Ikulu ya Russia). Na huu ndio ulikuwa mwanzo wa mzozo kati ya pedeshee/papaa Gusinsky, kikundi cha watoto wa mjini cha "Family", pamoja na Luteni Kanali Vladmir Putin.
Mnamo mwezi wa Septemba mwaka 1999 kulikuwa na mashambulio kadhaa ya kigaidi huko jijini Moscow na miji mingine nchini Urusi. Majengo kadhaa yalilipuliwa kwa mabomu na watu wengi sana waliuawa. Kremlin/Ikulu ya Urusi ilichukua msimamo wa kuamini kwamba makundi ya magaidi wa Chechen ndio waliokuwa wanahusika na mabomu hayo.
View attachment 1853095
Wakati huo huo, kikundi cha majirani waliokuwa wanaishi katika jengo la ghorofa kumi pale jijini Moscow walikutana na idadi kubwa ya vilipuzi/explosives chini ya jengo lao, na wakaripoti kwa Police/FSB. Wakati huo kundi la wachunguzi wa waandishi wa habari wa kujitegemea walifunua funua ukweli fulani ambao uliunganisha vilipuzi vile na watu walio na uhusiano na Police/FSB.
Television ya NTV ya bwana Gusinsky kwa kupenda sifa ya kufurahisha mabeberu iliamua kuchukua msimamo na kufanya uchunguzi wa kina kama waandishi wa habari - ikichunguza uwezekano wa kwamba Police/FSB ilikuwa ikitengeneza milipuko kwa makusudi katika juhudi za kushawishi uchaguzi ujao na kuhakikisha kundi la "Family linashinda".
Ukweli kwamba kituo cha NTV cha bwana Gusinsky kilianza uchunguzi juu ya milipuko ile kilisababisha hasira kali sana huko Ikulu/Kremlin; kwa kweli, Gusinsky alipewa tamko kali la kuondoa "uchunguzi ule wa huru" kutoka katika kituo chake cha NTV, laa sivyo atakabiliwa na athari ambazo hakuzitarajia.
View attachment 1853104
Gusinsky alikataa katakata kusitisha uchunguzi ule. Kwa kuongezea tu ni kwamba, wadau mbalimbali wa kujitegemea (bila shaka ni vibaraka wa mabeberu) waliishutumu ikulu ya Kremlin na Kanali Putin kwa kuandaa milipuko ile, na kusababisha vita mpya vya Chechen, kwa lengo la kujiongezea umaarufu katika mchakato wa uchaguzi uliokuwa unafuata.
Hii ilikuwa hatua ya mwisho ya kuvunjika kwa uhusiano mwema uliokuwapo mwanzo baina ya Gusinsky na Kremlin, kikundi cha watoto wa mjini cha Family, pamoja na mrithi wa Yeltsin ambaye ni mzee baba Putin. Mnamo tarehe 31 Disemba 1999 Rais Yeltsin alijiuzulu, na Vladimir Putin alikua rais mteule wa Urusi. Putin alikaimu kiti kwa muda kabla ya kula kiapo.
Kujiuzulu kwa Yeltsin kulimleta Putin kuwa Kaimu Urais wa muda wa Russia, na uchaguzi uliofuata mnamo mwezi Mei mwaka 2000 ulimleta Putin mamlakani bila pingamizi.
Moja kati ya matendo ya kwanza kukosolewa hadharani ya rais mpya Putin ilikuwa kuanza kwa uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa lengo la kuiweka NTV chini ya udhibiti wa serikali na kuwanyamazisha wapinzani.
View attachment 1853107
Mnamo mwezi wa Juni, ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali ilizindua uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa matumizi mabaya ya pesa (Money Laundering) yakihusiana na kampuni ya utengenezaji ya video ya nchini Urusi iliyokuwa inamilikiwa na ndugu wa bwana Gusinsky. Mnamo mwezi Juni tarehe 13 alikamatwa huko jijini Moscow na kuwekwa lupango/ndani.
Muda mfupi baada ya kukamatwa, wawakilishi wa Gusinsky walipendekeza kwa Ikulu ya Kremlin kuuza "vyombo vile vya habari" kwa kampuni ya serikali ya Gazprom-Media kwa bei ambayo Gazprom-Media inataka, ya Dola za Kimarekani milioni 300, ili pedeshee/papaa Gusinsky aweze kupata uhuru wake.
Baada ya siku tatu za shinikizo kubwa la umma, Gusinsky aliachiliwa kutoka gerezani na kuwekwa kizuizini nyumbani kwake mnamo mwezi wa Juni tarehe 16. Wiki kadhaa baadaye, mnamo mwezi wa Julai, alisaini makubaliano ya kuuza vyombo vyake vyote vya habari kwa Dola za Kimarekani milioni 300.
View attachment 1853109
Mchakato wa mauzo ulisainiwa na naibu Waziri wa wakati huo katika nafasi yake kama mkuu wa Wizara ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano ya Shirikisho la Urusi.
Uchunguzi/upelelezi wa makosa ya jinai dhidi yake ulifungwa, na Gusinsky aliondoka Urusi mara moja. Kuanzia wakati huo Gusinsky hakuwahi kurudi teeeeeeeeeenaaa Urusi.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hizo akili na IQ ailete pale darajani tuwe tunashinda makombe mpka tuseme basiiInasemekana warussi ndo watu wenye pesa mingi sana ila jinsi wanavyoweka mali zao huwezi Jua. Hawa akina Jeff Bezos wakasome..
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hapo utakuta MI6 wanamfuatilia kila anachofanya!!UK wanaijua historia ya Urusi na utawala toka enzi za vita baridi,yaani wanawajua warusi kuliko mimi na wewe,..Point yangu ni kwamba ukishamjua jirani yako ni mwizi na yeye anaajua kuwa unajua,hiyo ni hatua kubwa sana,unaweza hata ukamwachia nyumba yako na asiibe.So hata Abramovich anajua kuwa UK wanajua yeye ana uhusiano wa karibu na Putin,so hawezi fanya ujinga sababu waingereza hadi wampe team in naama walikuwa washamuweka kwenye darubin yao pia...
🚮🚮 unamtisha nani?Habari za wakati huu jamiiforums.
Unamjua "Media Tycoon" Vladimir Gusinsky? Rais Putin alimwambia "niuzie vyombo vyako vya habari, laa sivyo nitakuweka ndani mpaka ukoo wako ukusahau"
View attachment 1853094
Mnamo mwaka wa 1999, kulikuwa na muungano/umoja wa kisiasa ambao uliwajumuisha Rais wa wakati huo ndugu Borris Yeltsin, jamaa zake na Yeltsin, pamoja na kundi la wafanyabiashara mwenye nguvu, wanaojulikana kama "Family", ambao ndio inasemekana walimleta Vladimir Putin kama mrithi pekee wa Rais Yeltsin.
Wakati huo huo, Vladimir Gusinsky alijiweka nje ya kikundi hicho chenye nguvu cha "Family" na kwa sababu hiyo alituhumiwa kuunga mkono makundi ya upinzani yaliyokuwa yakienenda kinyume na matakwa ya Kremlin (Ikulu ya Russia). Na huu ndio ulikuwa mwanzo wa mzozo kati ya pedeshee/papaa Gusinsky, kikundi cha watoto wa mjini cha "Family", pamoja na Luteni Kanali Vladmir Putin.
Mnamo mwezi wa Septemba mwaka 1999 kulikuwa na mashambulio kadhaa ya kigaidi huko jijini Moscow na miji mingine nchini Urusi. Majengo kadhaa yalilipuliwa kwa mabomu na watu wengi sana waliuawa. Kremlin/Ikulu ya Urusi ilichukua msimamo wa kuamini kwamba makundi ya magaidi wa Chechen ndio waliokuwa wanahusika na mabomu hayo.
View attachment 1853095
Wakati huo huo, kikundi cha majirani waliokuwa wanaishi katika jengo la ghorofa kumi pale jijini Moscow walikutana na idadi kubwa ya vilipuzi/explosives chini ya jengo lao, na wakaripoti kwa Police/FSB. Wakati huo kundi la wachunguzi wa waandishi wa habari wa kujitegemea walifunua funua ukweli fulani ambao uliunganisha vilipuzi vile na watu walio na uhusiano na Police/FSB.
Television ya NTV ya bwana Gusinsky kwa kupenda sifa ya kufurahisha mabeberu iliamua kuchukua msimamo na kufanya uchunguzi wa kina kama waandishi wa habari - ikichunguza uwezekano wa kwamba Police/FSB ilikuwa ikitengeneza milipuko kwa makusudi katika juhudi za kushawishi uchaguzi ujao na kuhakikisha kundi la "Family linashinda".
Ukweli kwamba kituo cha NTV cha bwana Gusinsky kilianza uchunguzi juu ya milipuko ile kilisababisha hasira kali sana huko Ikulu/Kremlin; kwa kweli, Gusinsky alipewa tamko kali la kuondoa "uchunguzi ule wa huru" kutoka katika kituo chake cha NTV, laa sivyo atakabiliwa na athari ambazo hakuzitarajia.
View attachment 1853104
Gusinsky alikataa katakata kusitisha uchunguzi ule. Kwa kuongezea tu ni kwamba, wadau mbalimbali wa kujitegemea (bila shaka ni vibaraka wa mabeberu) waliishutumu ikulu ya Kremlin na Kanali Putin kwa kuandaa milipuko ile, na kusababisha vita mpya vya Chechen, kwa lengo la kujiongezea umaarufu katika mchakato wa uchaguzi uliokuwa unafuata.
Hii ilikuwa hatua ya mwisho ya kuvunjika kwa uhusiano mwema uliokuwapo mwanzo baina ya Gusinsky na Kremlin, kikundi cha watoto wa mjini cha Family, pamoja na mrithi wa Yeltsin ambaye ni mzee baba Putin. Mnamo tarehe 31 Disemba 1999 Rais Yeltsin alijiuzulu, na Vladimir Putin alikua rais mteule wa Urusi. Putin alikaimu kiti kwa muda kabla ya kula kiapo.
Kujiuzulu kwa Yeltsin kulimleta Putin kuwa Kaimu Urais wa muda wa Russia, na uchaguzi uliofuata mnamo mwezi Mei mwaka 2000 ulimleta Putin mamlakani bila pingamizi.
Moja kati ya matendo ya kwanza kukosolewa hadharani ya rais mpya Putin ilikuwa kuanza kwa uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa lengo la kuiweka NTV chini ya udhibiti wa serikali na kuwanyamazisha wapinzani.
View attachment 1853107
Mnamo mwezi wa Juni, ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali ilizindua uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa matumizi mabaya ya pesa (Money Laundering) yakihusiana na kampuni ya utengenezaji ya video ya nchini Urusi iliyokuwa inamilikiwa na ndugu wa bwana Gusinsky. Mnamo mwezi Juni tarehe 13 alikamatwa huko jijini Moscow na kuwekwa lupango/ndani.
Muda mfupi baada ya kukamatwa, wawakilishi wa Gusinsky walipendekeza kwa Ikulu ya Kremlin kuuza "vyombo vile vya habari" kwa kampuni ya serikali ya Gazprom-Media kwa bei ambayo Gazprom-Media inataka, ya Dola za Kimarekani milioni 300, ili pedeshee/papaa Gusinsky aweze kupata uhuru wake.
Baada ya siku tatu za shinikizo kubwa la umma, Gusinsky aliachiliwa kutoka gerezani na kuwekwa kizuizini nyumbani kwake mnamo mwezi wa Juni tarehe 16. Wiki kadhaa baadaye, mnamo mwezi wa Julai, alisaini makubaliano ya kuuza vyombo vyake vyote vya habari kwa Dola za Kimarekani milioni 300.
View attachment 1853109
Mchakato wa mauzo ulisainiwa na naibu Waziri wa wakati huo katika nafasi yake kama mkuu wa Wizara ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano ya Shirikisho la Urusi.
Uchunguzi/upelelezi wa makosa ya jinai dhidi yake ulifungwa, na Gusinsky aliondoka Urusi mara moja. Kuanzia wakati huo Gusinsky hakuwahi kurudi teeeeeeeeeenaaa Urusi.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Ni kweli lkn jamaa alinikaribisha chakula cha jioni! palee ''Kremlin'' wkt tunakula sasa nikamwawambia Tizama bwana Rais nchi yako hii ina maguvu, ya kila aina na ni kubwa mno! haipangiwi cha kufanya km zilivo nchi zetu, kwa nini usiamue kukaa wewe km wewe.JF imejaa watu intelligent sana na wanaoijua vema dunia hii
Mpaka Sasa sijui mabeberu ni kina nani .Maana watu wanaopinga uonevu wanaitwa mabeberuKumbe kufanya uchunguzi wa kina ni kuwafurahisha mabeberu? Nilikuwa sijui
Usalama wa taifa au usalama wa Putin na genge lake!
Hapana mkuu, hayo ni mawazo yako tu kaka.Mleta uzi anahusudu udikteta
Ni majitu yenye Mapembe na ndevu Kama mbuzi au kondooMpaka Sasa sijui mabeberu ni kina nani .Maana watu wanaopinga uonevu wanaitwa mabeberu
Nimependa hapo ulipomalizia Soldier hapo kwenye usisahauHabari za wakati huu jamiiforums.
Unamjua "Media Tycoon" Vladimir Gusinsky? Rais Putin alimwambia "niuzie vyombo vyako vya habari, laa sivyo nitakuweka ndani mpaka ukoo wako ukusahau"
View attachment 1853094
Mnamo mwaka wa 1999, kulikuwa na muungano/umoja wa kisiasa ambao uliwajumuisha Rais wa wakati huo ndugu Borris Yeltsin, jamaa zake na Yeltsin, pamoja na kundi la wafanyabiashara mwenye nguvu, wanaojulikana kama "Family", ambao ndio inasemekana walimleta Vladimir Putin kama mrithi pekee wa Rais Yeltsin.
Wakati huo huo, Vladimir Gusinsky alijiweka nje ya kikundi hicho chenye nguvu cha "Family" na kwa sababu hiyo alituhumiwa kuunga mkono makundi ya upinzani yaliyokuwa yakienenda kinyume na matakwa ya Kremlin (Ikulu ya Russia). Na huu ndio ulikuwa mwanzo wa mzozo kati ya pedeshee/papaa Gusinsky, kikundi cha watoto wa mjini cha "Family", pamoja na Luteni Kanali Vladmir Putin.
Mnamo mwezi wa Septemba mwaka 1999 kulikuwa na mashambulio kadhaa ya kigaidi huko jijini Moscow na miji mingine nchini Urusi. Majengo kadhaa yalilipuliwa kwa mabomu na watu wengi sana waliuawa. Kremlin/Ikulu ya Urusi ilichukua msimamo wa kuamini kwamba makundi ya magaidi wa Chechen ndio waliokuwa wanahusika na mabomu hayo.
View attachment 1853095
Wakati huo huo, kikundi cha majirani waliokuwa wanaishi katika jengo la ghorofa kumi pale jijini Moscow walikutana na idadi kubwa ya vilipuzi/explosives chini ya jengo lao, na wakaripoti kwa Police/FSB. Wakati huo kundi la wachunguzi wa waandishi wa habari wa kujitegemea walifunua funua ukweli fulani ambao uliunganisha vilipuzi vile na watu walio na uhusiano na Police/FSB.
Television ya NTV ya bwana Gusinsky kwa kupenda sifa ya kufurahisha mabeberu iliamua kuchukua msimamo na kufanya uchunguzi wa kina kama waandishi wa habari - ikichunguza uwezekano wa kwamba Police/FSB ilikuwa ikitengeneza milipuko kwa makusudi katika juhudi za kushawishi uchaguzi ujao na kuhakikisha kundi la "Family linashinda".
Ukweli kwamba kituo cha NTV cha bwana Gusinsky kilianza uchunguzi juu ya milipuko ile kilisababisha hasira kali sana huko Ikulu/Kremlin; kwa kweli, Gusinsky alipewa tamko kali la kuondoa "uchunguzi ule wa huru" kutoka katika kituo chake cha NTV, laa sivyo atakabiliwa na athari ambazo hakuzitarajia.
View attachment 1853104
Gusinsky alikataa katakata kusitisha uchunguzi ule. Kwa kuongezea tu ni kwamba, wadau mbalimbali wa kujitegemea (bila shaka ni vibaraka wa mabeberu) waliishutumu ikulu ya Kremlin na Kanali Putin kwa kuandaa milipuko ile, na kusababisha vita mpya vya Chechen, kwa lengo la kujiongezea umaarufu katika mchakato wa uchaguzi uliokuwa unafuata.
Hii ilikuwa hatua ya mwisho ya kuvunjika kwa uhusiano mwema uliokuwapo mwanzo baina ya Gusinsky na Kremlin, kikundi cha watoto wa mjini cha Family, pamoja na mrithi wa Yeltsin ambaye ni mzee baba Putin. Mnamo tarehe 31 Disemba 1999 Rais Yeltsin alijiuzulu, na Vladimir Putin alikua rais mteule wa Urusi. Putin alikaimu kiti kwa muda kabla ya kula kiapo.
Kujiuzulu kwa Yeltsin kulimleta Putin kuwa Kaimu Urais wa muda wa Russia, na uchaguzi uliofuata mnamo mwezi Mei mwaka 2000 ulimleta Putin mamlakani bila pingamizi.
Moja kati ya matendo ya kwanza kukosolewa hadharani ya rais mpya Putin ilikuwa kuanza kwa uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa lengo la kuiweka NTV chini ya udhibiti wa serikali na kuwanyamazisha wapinzani.
View attachment 1853107
Mnamo mwezi wa Juni, ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa serikali ilizindua uchunguzi dhidi ya Gusinsky kwa matumizi mabaya ya pesa (Money Laundering) yakihusiana na kampuni ya utengenezaji ya video ya nchini Urusi iliyokuwa inamilikiwa na ndugu wa bwana Gusinsky. Mnamo mwezi Juni tarehe 13 alikamatwa huko jijini Moscow na kuwekwa lupango/ndani.
Muda mfupi baada ya kukamatwa, wawakilishi wa Gusinsky walipendekeza kwa Ikulu ya Kremlin kuuza "vyombo vile vya habari" kwa kampuni ya serikali ya Gazprom-Media kwa bei ambayo Gazprom-Media inataka, ya Dola za Kimarekani milioni 300, ili pedeshee/papaa Gusinsky aweze kupata uhuru wake.
Baada ya siku tatu za shinikizo kubwa la umma, Gusinsky aliachiliwa kutoka gerezani na kuwekwa kizuizini nyumbani kwake mnamo mwezi wa Juni tarehe 16. Wiki kadhaa baadaye, mnamo mwezi wa Julai, alisaini makubaliano ya kuuza vyombo vyake vyote vya habari kwa Dola za Kimarekani milioni 300.
View attachment 1853109
Mchakato wa mauzo ulisainiwa na naibu Waziri wa wakati huo katika nafasi yake kama mkuu wa Wizara ya Habari, Utangazaji na Mawasiliano ya Shirikisho la Urusi.
Uchunguzi/upelelezi wa makosa ya jinai dhidi yake ulifungwa, na Gusinsky aliondoka Urusi mara moja. Kuanzia wakati huo Gusinsky hakuwahi kurudi teeeeeeeeeenaaa Urusi.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.