rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Salaam wakuu,
Magari yamekuwa gharama sana kuwa nayo,lakini ni jambo la kusikitisha, mtu bora akuibie kwa njia nyingine na si kukuibia na kuliharibu gari lako.
Janga hili nimeona niwaeleze,kila mtu afuatilie kivyake.Kumbe ukiwekewa mafuta yaliyochanganya na maji au kitu kingine,gari ikapata tatizo lolote au ika sense na kuzima,uwe na receipt,usiwe nayo-mtu wa kituo cha mafuta kuja kuchukuliwa hatua na mamlaka husika inaweza kuchukua zaidi ya mwezi 1.
Na hapo ni kama una uwezo wa kufuatilia kwa karibu.
Kama una gari lako,bora ukajazia sehemu(kituo) moja na kama ni boss wa huku uswahilini,bora ukanunua mafuta kwa kidumu.
Gari ya huyu ndg -si ya zamani sana ,Landcruiser haina hata miezi 6,imezima na hakuwa na njia, baada ya kuyasikia hayo na aliweka mafuta full tank na maji yanaonekana na ana safari,imebidi ajihudumie ili asafirigharama kama 1.2M
Kama uko mikoani ndio kivumbi.Mpaka uje kupata hizo forms za hizo mamlaka sijui gharama za taxi,muda etc utaupata wapi.
Kuna haja ya kupata watu wa kulitafutia ufumbuzi hili.
Magari yamekuwa gharama sana kuwa nayo,lakini ni jambo la kusikitisha, mtu bora akuibie kwa njia nyingine na si kukuibia na kuliharibu gari lako.
Janga hili nimeona niwaeleze,kila mtu afuatilie kivyake.Kumbe ukiwekewa mafuta yaliyochanganya na maji au kitu kingine,gari ikapata tatizo lolote au ika sense na kuzima,uwe na receipt,usiwe nayo-mtu wa kituo cha mafuta kuja kuchukuliwa hatua na mamlaka husika inaweza kuchukua zaidi ya mwezi 1.
Na hapo ni kama una uwezo wa kufuatilia kwa karibu.
Kama una gari lako,bora ukajazia sehemu(kituo) moja na kama ni boss wa huku uswahilini,bora ukanunua mafuta kwa kidumu.
Gari ya huyu ndg -si ya zamani sana ,Landcruiser haina hata miezi 6,imezima na hakuwa na njia, baada ya kuyasikia hayo na aliweka mafuta full tank na maji yanaonekana na ana safari,imebidi ajihudumie ili asafirigharama kama 1.2M
Kama uko mikoani ndio kivumbi.Mpaka uje kupata hizo forms za hizo mamlaka sijui gharama za taxi,muda etc utaupata wapi.
Kuna haja ya kupata watu wa kulitafutia ufumbuzi hili.